Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELLA ATUMIKA KUWAUZA WASICHANA MTANDAONI

‘Muuza nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda. Na Hamida Hassan ‘MUUZA nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda amekwaa skendo ya kuuza wasichana kwa mapedeshee, kufuatia jina lake kutumiwa na mtu ambaye jina lake halisi halikupatikana mara moja, ambaye anajitambulisha kwa jina la msanii huyo. Mpashaji wa habari hii ambaye ni rafiki wa karibu na Isabella aliliambia gazeti hili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SNURA ATUMIKA KUTAPELI

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumika kwa utapeli kupitia namba yake ya simu. Msanii wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu, Snura alisema aliacha kutumia namba ya awali kwa muda wa miezi miwili baada ya kupotea  ambapo hivi karibuni ndipo alipoanza kupata malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba...

 

10 years ago

GPL

BAKHRESA ATUMIKA KUTAPELI...

Na Makongoro Oging’/Uwazi
MFANYABIASHARA tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa (pichani), jina lake limetumika katika utapeli jijini Dar baada ya watu waliodai ni wafanyakazi wake kumrubuni mkazi wa Kariakoo, Mussa Mohammed kuvunja fremu yenye duka lake ili kupisha ujenzi wa maegesho ya magari, Uwazi limedokezwa. Mfanyabiashara tajiri Afrika Mashariki na Kati, Said Salum Bakhresa. Akizungumza na gazeti...

 

9 years ago

Global Publishers

Amanda atumika kwa utapeli

GLOBALTVONLINE14Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’.

Mwandishi wetu
Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya jina lake kutumika kwa utapeli kwenye mitandao ya kijamii.

Amanda ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, kuna Amanda feki anayetumia jina lake kutapeli watu ambapo tayari amepokea malalamiko mengi huku jamaa mmoja akichukuliwa fedha kilaini (hakutaja kiasi) kupitia Facebook, akiamini ni staa huyo hivyo kuwataka watu kuwa makini kwani yeye hana...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ATUMIKA KWENYE UTAPELI WA MAMILIONI

Na Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Masawe ‘Jack Wolper’ amejikuta akitumika kwenye utapeli wa mamilioni ya shilingi kupitia mitandao ya kijamii bila yeye kujua,limeinyaka.
Akizungumzia sakata zima huku alibubujikwa na machozi, Wolper alisema: “Siku moja nilikutana na dereva teksi mmoja aitwaye Ismail, baada ya kupiga stori nilimpa namba yangu ya simu na yeye akanipa yake, tukaagana. ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika ahusishwa na kashfa ya kuwauza watoto

Spika wa bunge la Niger ametoroka baada ya kamati ya bunge hilo kuafikia kukamatwa kwake kuhusiana na kashfa ya kuwauza watoto.

 

9 years ago

Global Publishers

Mastaa wanaodaiwa kuwauza wenzao watajwa

auntlulu1
Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.

HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA

MASTAA kadhaa hapa Bongo wamekanyaga skendo ya kudaiwa kuwauza wenzao kwa wanaume ambapo katika orodha hiyo wamo Lungi Mwaulanga,Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ na Maimartha Jesse.

Chanzo cha habari kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mastaa hao ndiyo wamekuwa wakitumika kuwaunganisha wasaniii wenzao kwa mapedeshee huku wao habari hii, waandishi wetu walizungumza na wahusika ambao kila mmoja alifunguka kivyake.

maiMaimartha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

 

5 years ago

The Citizen Daily

‘I am doing fine’, says Isabella, Tanzania’s first Coronavirus patient

‘I am doing fine’, says Isabella, Tanzania’s first Coronavirus patient  The Citizen DailyTanzanian coronavirus patient apologises for bringing COVID-19 to country  Breaking NEWS in KENYA for Today Right Now & Kenyan News | TUKOView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

KABLA YA KUVISHWA PETE, ISABELLA ANASWA NA MCHEPUKO

Issa mnally
AMA kweli duniani kuna mambo! Mdada anayehangaika kutafuta jina katika tasnia ya muziki wa Kibongo, Isabella Mpanda ‘Bella’ aliitia doa sherehe yake ya kuvishwa pete ya uchumba baada ya kunaswa akidendeka na mchepuko dakika chache kabla ya tukio hilo muhimu. Mbongo Fleva Masoud Karama ‘Luteni Kalama’ akimvisha pete mpenzi wake wa kitambo, Isabella Mpanda ‘Bella’. Msanii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani