Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mastaa wanaodaiwa kuwauza wenzao watajwa

auntlulu1
Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’.

HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA

MASTAA kadhaa hapa Bongo wamekanyaga skendo ya kudaiwa kuwauza wenzao kwa wanaume ambapo katika orodha hiyo wamo Lungi Mwaulanga,Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ na Maimartha Jesse.

Chanzo cha habari kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mastaa hao ndiyo wamekuwa wakitumika kuwaunganisha wasaniii wenzao kwa mapedeshee huku wao habari hii, waandishi wetu walizungumza na wahusika ambao kila mmoja alifunguka kivyake.

maiMaimartha...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakenya walaani ubaguzi wa rangi wanaodaiwa kufanyiwa wenzao Uchina

Baada ya Waafrika wanaoishi nchini Uchina kulalamika kuwa wanabaguliwa na kufurushwa kwenye nyumba na hoteli, serikali ya Uchina imesema kuwa inawachukulia wageni wote kwa usawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika ahusishwa na kashfa ya kuwauza watoto

Spika wa bunge la Niger ametoroka baada ya kamati ya bunge hilo kuafikia kukamatwa kwake kuhusiana na kashfa ya kuwauza watoto.

 

9 years ago

GPL

ISABELLA ATUMIKA KUWAUZA WASICHANA MTANDAONI

‘Muuza nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda. Na Hamida Hassan ‘MUUZA nyago’ kupitia muziki na filamu hapa Bongo, Isabella Mpanda amekwaa skendo ya kuuza wasichana kwa mapedeshee, kufuatia jina lake kutumiwa na mtu ambaye jina lake halisi halikupatikana mara moja, ambaye anajitambulisha kwa jina la msanii huyo. Mpashaji wa habari hii ambaye ni rafiki wa karibu na Isabella aliliambia gazeti hili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kuwauza watoto katika ngono

Amanda Spencer amefungwa jela miaka 12 Uingereza kwa kuwauza watoto wadogo wenye umri wa miaka 13 katika biashara ya ngono

 

11 years ago

Habarileo

Wanaodaiwa UDOM kufanya mitihani

SERIKALI imewahakikishia wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) walioshindwa kulipa ada kwamba watafanya mtihani na kama yapo madeni, watayalipa baada ya kumaliza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume 3 wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Iran -Tehran, Brigadia Jenera Hossein Rahimi, amesema kuwa mmoja wa watoto hao wachanga alikuwa ni wa siku 20.Mwingine alikua na umri wa mwezi mmoja.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini kina mama walanazimika kuwauza watoto wao Venezuela

Mgogoro wa kiuchumi Venezuela unaosababisha baadhi ya kina mama ambao hawawezi kukidhi mahitaji ya watoto wao kuwatoa ama kwa hiari au kwa kulazimishwa

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaodaiwa kuchoma ofisi ya Serikali kortini

Watuhumiwa 14 kati ya 106 waliokamatwa na Polisi mjini Moshi juzi kwa tuhuma za kuchoma ofisi ya Serikali ya kata jana walipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanaodaiwa ‘Mbwa Mwitu’ kizimbani Dar

Wakazi sita wa Dar es Salaam maarufu Mbwa Mwitu au waanzilishi wa kundi la Watoto wa Mbwa, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani