Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HILI SOO LA IPTL LIMEKAA VIBAYA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Na Ojuku Abraham
MOTO wa ripoti ya upotevu wa fedha za umma katika akaunti ya Tegeta Escrow, ambayo imekabidhiwa kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inayoongozwa na Zitto Kabwe unatarajiwa kuwaka Novemba 27, mwaka huu, siku ambayo itasomwa na kujadiliwa bungeni baada ya Mwanasheria Mkuu wa serikali na vigogo wengine kadhaa kuhojiwa. Akaunti ya Tegeta Escrow...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAMKE ANASWA KWA SOO LA UTAPELI

Stori:  Hamida Hassan na Imelda Mtema Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mwanaheri anadaiwa kunaswa kwa msala wa utapeli na kupewa kashikashi la aina yake baada ya ‘kutaitiwa’ na wanawake wenzake ambao ni wajasiriamali akisemekana kukomba mali zenye gharama za Sh. milioni mbili. Mtuhumiwa (Mwanaheri) aliyenaswa kwa msala wa utapeli akiwa chini ya ulinzi wa Polisi eneo la Mlimani City jijini Dar. Tukio hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya

UTEUZI  wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nasri ajeruhiwa vibaya

Mchezaji wa kiungo cha kati, wa Manchester City Samir Nasri, atafanyiwa uchunguzi zaidi wa jereha la goti alilopata wakati wa mechi ya klabu hiyo dhidi ya Newcastle.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Tumekadiria vibaya nguvu ya IS

Rais Obama amekiri Mashirika ya Marekani ya kijasusi yalikosea kukadiria hatari ya wapiganaji wa dola ya kiislam,Islamic State.

 

9 years ago

Habarileo

Zanzibar yaanza vibaya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes jana ilianza vibaya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Burundi katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.

 

10 years ago

Habarileo

Wanaotumia vibaya simu kukiona

SERIKALI imeahidi kuja na sheria itakayozuia matumizi mabaya ya mitandao ya simu yanayohusisha usambazaji wa picha za ngono, wizi na taarifa zingine zinazochangia kubomoa maadili ya Mtanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yatumia wasomi vibaya

JITIHADA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupigania mfumo wa serikali mbili zimechukua sura mpya baada ya kubainika kwamba sasa kimeamua kuwatumia wasomi 100, wakiwemo maprosesa kutunga kitabu kutetea msimamo wake...

 

11 years ago

Mwananchi

Jabu aanza vibaya Ashanti

>Beki wa kushoto wa Ashanti United, Juma Jabu ameanza kibarua kwa mikosi baada ya kuumia bega, ambapo atalazimika kukaa nje ya uwanja wiki moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani