Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jabu aanza vibaya Ashanti

>Beki wa kushoto wa Ashanti United, Juma Jabu ameanza kibarua kwa mikosi baada ya kuumia bega, ambapo atalazimika kukaa nje ya uwanja wiki moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kobe Bryant aanza vibaya NBA

Mchezaji nguli wa mchezo wa kikapu Nchini Marekani Kobe Bryant amerejea vibaya katika kikosi chake cha LA Lakers.

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: BILELE 1 vs RWAMISHENYE 3, BINGWA MTETEZI AANZA VIBAYA!! ACHAPWA NA WANA BODABODA RWAMISHENYE FC!

Hapa hukatizi ndugu yangu!Wachezaji wa Timu ya Rwamishenye wakicheza muziki baada ya kusawazishaMashabiki ndio usiseme...walijaa uwanjani KaitabaMashabiki kibao. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya

UTEUZI  wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...

 

9 years ago

Vijimambo

MAREHEMU MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI MHE. JABU KHAMIS MBWANA AZIKWA PEMBA

  WAUMINI mbali mbali wa Dini ya Kiislamu wakiongozwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakimswalia Marehemu Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mhe:Jabu Khamis Mbwana, swala iliyofanyika huko kijijini kwao Kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni Ksiwani Pemba.

 WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mhe. Jabu Khamis Mbwana, kuupeleka kwenye makaazi yake ya Mwisho huko kiuyu Mbuyuni Wilaya ya Micheweni.

 MAKAMO wa Pili...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: Sidhani kama wasanii wote wa filamu hawajatulia, mimi nimetulia — Salma Jabu (Nisha)

Muigizaji wa filamu Tanzania, Salma Jabu a.k.a Nisha amefunguka mambo mengi yanayomhusu ikiwemo filamu, mahusiano yake, tuhuma za kuwa miongoni mwa wasanii wa kike wanaosemwa kwa kuvaa nusu utupu nk. Amezungumza hayo kupitia mahojiano na kipindi cha Papaso cha TBC Fm na D’Jaro Arungu ambacho hurushwa kupitia TBC 1.

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MICHEWENI PEMBA NDG JABU KHAMIS MBWANA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO

Mhe Jabu Khamis Mbwana alipoapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, Dr A|li Mohamed Shein. 
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi Raaji'un
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Nd. Jabu Khamis Mbwana amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Kijiji kwake Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Marehemu Jabu alikuwa akisumbuliwa na homa kwa takriban wiki moja sasa na maziko yatafanyika huko Kiuyu saa nne za asubuhi leo hii.

Mkuu huyo wa Wilaya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wakongwe mizigo Ashanti’

Kocha wa Ashanti  United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam crush Ashanti to go top

Azam FC returned to the summit of the Vodacom Premier League table after beating relegation-haunted Ashanti United 4-0 at Chamazi Complex yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani