Zanzibar yaanza vibaya Chalenji
TIMU ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes jana ilianza vibaya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Burundi katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kombe la dunia ,England yaanza vibaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlM5VHNqb8PD1GHwQjsgEDtBMyoxcf3e29mKfqur4qrSsi3Lg2*B1yJdYcVcx00mbf7Mj5GVeJ0QgGyv19jOL-A/costaRica.jpg)
URUGUAY YAANZA VIBAYA, YACHAPWA 3-1 NA COSTA RICA
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Kombe la dunia la vilabu, TP Mazembe yaanza vibaya kwa kipigo
Kiungo Roger Assale wa TP Mazembe akionyesha ufundi wake kwa Toshihiro Aoyama wa timu ya Sanfrecce Hiroshima katika viwanja vya Osaka Nagai jana December 13, 2015 wakati wa mchezo wa robo fainali wa Mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia uliofanyika jijini Osaka, Japan.(Picha na Kaz Photography/Getty Images AsiaPac).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Timu pekee inayowakilisha Afrika katika kombe la dunia la vilabu 2015 linalofanyika nchini Japan, TP Mazembe ya Congo DRC, imeanza vibaya Mashindano ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBzkGYYWT8XVVp*r-VsZqIH4yA7hlFbeUoQ6XGyvJsactJE8GjiyuaxH1zP3GtgKUtvsTIaw8CevxYm7zjbIYo6/B15ERMN0768.jpg?width=600)
TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Zanzibar Heroes, Kili Stars kazini Chalenji
NA ZAINAB IDDY
MICHUANO ya Chalenji inayoshirikisha nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), inatarajia kuanza leo nchini Ethiopia huku timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ ikianza kibarua kwa kuvaana na Burundi huku wenzao wa Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ wakicheza kesho kwa kucheza na Somalia.
Michuano hiyo inayoanza leo itamalizika Desemba 6 mwaka huu ambapo Zanzibar Heroes inayonolewa na Kocha mkuu, Hemed Morocco, akisaidiana na Malale Hamsini, ipo kundi B pamoja...
10 years ago
CloudsFM30 Jun
Polisi wampiga vibaya Mwandishi wa Habari Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-xoa9muYsDxw/VZF0u4geYjI/AAAAAAAAwp4/TgpqH2CnW08/s640/polisii.jpg)
Mwandishi wa Habari kwa jina Omar Ali mzaliwa wa Mkoani Kangani kisiwani Pemba, jana mida ya asubuhi ameshambuliwa na kupigwa vibaya sana na jeshi la Polisi Zanzibar na kutupwa maeneo ya Maisara mjini Zanzibar.
Mwandishi huyu alikuwa anachukua habari kutoka kituo cha uandikishaji dafatari la kudumu maeneo ya Migombani Zanzibar na polisi hao inasadikiwa walisema ni mwandishi wa Chama cha Wananchi CUF na ndipo walipomshika na kuanza kumpiga vibaya sana na kumvunja miguu kama anavyoonekana...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya
UTEUZI wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...
11 years ago
MichuziZANZIBAR YAANZA MATAYARISHO YA UZINDUZI WA JUMUIYA YA MARADHI YASIYOAMBUKIZA