Polisi wampiga vibaya Mwandishi wa Habari Zanzibar
Mwandishi wa Habari kwa jina Omar Ali mzaliwa wa Mkoani Kangani kisiwani Pemba, jana mida ya asubuhi ameshambuliwa na kupigwa vibaya sana na jeshi la Polisi Zanzibar na kutupwa maeneo ya Maisara mjini Zanzibar.
Mwandishi huyu alikuwa anachukua habari kutoka kituo cha uandikishaji dafatari la kudumu maeneo ya Migombani Zanzibar na polisi hao inasadikiwa walisema ni mwandishi wa Chama cha Wananchi CUF na ndipo walipomshika na kuanza kumpiga vibaya sana na kumvunja miguu kama anavyoonekana...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s72-c/IMG-20150306-WA0048.jpg)
Mwandishi wa Habari Zanzibar, Ali Saleh Achukua Fomu leo kugombea Ubunge Mji Mkongwe Zanzibar
![](http://lh4.ggpht.com/-8ob7pCOKg3Q/VPnSJj1Md3I/AAAAAAABnUI/33QGDIbarS0/s640/IMG-20150306-WA0048.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XF1RVb4mZpY/VPn63aZbg6I/AAAAAAABnXc/mb1zalBP6i0/s640/IMG-20150306-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XjsGQW0giaU/VPn631GDyPI/AAAAAAABnXo/Dd7irLdPTAk/s640/IMG-20150306-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KPgx2NphJ7E/VPn637RQrgI/AAAAAAABnXg/6TPraAXjWEA/s640/IMG-20150306-WA0006.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M-cRijamjiM/XoXSi8dKiWI/AAAAAAALl1A/4alH_n-PZpw2Z0SkEVgQwLmQiHqIumsaACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0353AAA-768x576.jpg)
WANANCHI WA ZANZIBAR WASHIRIKI MAZIKO YA MWANDISHI WA HABARI MUANDAMIZI WA TBC MARIN HASSAN MARIN
![](https://1.bp.blogspot.com/-M-cRijamjiM/XoXSi8dKiWI/AAAAAAALl1A/4alH_n-PZpw2Z0SkEVgQwLmQiHqIumsaACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0353AAA-768x576.jpg)
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiwa katika Ibada ya kuusalia Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, Mwandishi wa Habari Muandamiziu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) sala na dua hiyo imefanyika katiuka Msikiti wa KMKM Kibweni Wilaya ya Magharibi”A” Unguja leo 2/4./2020,saa nne na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Jijini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG_0614AA-1024x768.jpg)
10 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU
11 years ago
MichuziWAZIRI WA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO WA ZANZIBAR AKUTANA NA WANAFUNZI NA WALIMU WACHUO CHA UANDISHI WA HABARI ZANZIBAR
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Mwandishi wa habari afariki
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Mwandishi habari ashtakiwa Angola
10 years ago
BBCSwahili20 Aug
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mwandishi wa habari auawa Pakistan
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Mwandishi wa habari auawa Somalia
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10