Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi habari ashtakiwa Angola

Mwandishi habari mashuhuri amefikishwa mahakamani nchini Angola kwa madai ya kuwaharibia watu mashuhuri majina.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Marques de Morais: Mwandishi, mwanaharakati Angola

RAFAEL Marques de Morais ni raia wa Angola aliyejitokeza kuwa mwandishi wa habari mahiri wa habari za uchunguzi na mwanaharakati wa haki za binadamu.

Kutokana na harakati zake za  uandishi wa habari na kupigania haki za binadamu, mwandishi huyo aliyezaliwa mwaka 1971, amejipatia tuzo kadhaa za kimataifa.

Mapema mwaka huu alitunukiwa tuzo kwa kuandika mgogoro  wa ushwa katika Serikali, jambo lililowagusa watu walioshika mpini na kujikuta ameshikilia makali hivyo kudhurika.

Kwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Matinyi akisoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandishi wa habari afariki

Dar es Salaam. Mwandishi wa Habari Mtandao wa Mwanahalisi Online, Edson Kamukara amefariki dunia jana jioni baada ya kuungua moto, nyumbani kwake Mabibo, Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auwawa Mogadishu

Mwandishi wa habari kijana amekufa baada ya bomu lilotegwa chini ya gari lake kuripuka katika mji mkuu

 

5 years ago

CCM Blog

9 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auawa Pakistan

Watu wenye silaha wamemuua kwa kumpiga risasi mwandish maarufu wa habari katika mji wa Karachi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa Habari auawa Syria

Mwandishi habari mwenye asili ya Marekani auawa nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auawa Somalia

Mwandishi mmoja wa habari wa kike ameaga dunia baada ya bomu kulipuka chini ya gari lake katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete amlilia Mwandishi wa habari Mlimani

Mpigapicha na Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani, Maximilian John amefariki dunia katika Hospitali ya St Monica iliyopo Sinza, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani