Nasri ajeruhiwa vibaya
Mchezaji wa kiungo cha kati, wa Manchester City Samir Nasri, atafanyiwa uchunguzi zaidi wa jereha la goti alilopata wakati wa mechi ya klabu hiyo dhidi ya Newcastle.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
11 years ago
GPL
MGANGA AMVUNJA TAYA MKEWE, MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA!
11 years ago
GPL
UKATILI TENA: HAUSIGELI MWINGINE AJERUHIWA VIBAYA NA BOSI WAKE
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).
Na modewji blog
Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga vijijini, mkoani Rukwa.
Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi
Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.
Na Mwandishi Wetu , Singida.
Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Msichana huyo Jackline Lasway...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya
UTEUZI wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...
10 years ago
Africanjam.Com
SAMIR NASRI DENIES SEEKING ARSENAL RETURN

A report on Thursday claimed the 28-year-old had approached Arsene Wenger over the possibility of re-joining the Gunners but he insists there is no truth to the story
Samir Nasri has rubbished speculation suggesting that he asked Arsene Wenger if he could return to Arsenal.
A report on Thursday claimed the France international had made contact with his former boss to find out if there were any possibility of coming back to the Emirates Stadium, only to be told that the Gunners are well stocked...
11 years ago
GPL
KIKOSI CHA UFARANSA KOMBE LA DUNIA 2014, NASRI ATUPWA NJE
5 years ago
TalkSPORT.Com30 Mar
Bacary Sagna slams ‘harsh’ Cesc Fabregas for saying only Robin van Persie and Samir Nasri were on his level at