Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa
Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/129.jpg)
MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA
Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Aliyewashambulia polisi Denmark auawa
Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel
Polisi nchini Israeli wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina aliyekuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja huko Jerusalem.
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Israel:Mpalestina aliyesusia chakula yu mahututi
Mpalestina aliyefungwa nchini Israel ambaye amesusia chakula kwa takriban siku 60 amepoteza fahamu.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Waziri mpalestina auawa katika maandamano
Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Mpalestina mja mzito auawa na jeshi la Israeli
Mwanamke mmoja Mpalestina aliyekuwa mjamzito, na mwanawe wameuawa katika shambulio lililofanywa na majeshi ya Israel huko Gaza
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Mshambuliaji auawa Israel
Raia mmoja wa Israel ameuawa katika mapambano ya kurushiana risasi na kuchomana visu katika kituo cha Basi kusini mwa mji wa Beersheva.
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Kijana amjeruhi polisi wa Israel
Askari polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania