Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA

Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyewashambulia polisi Denmark auawa

Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel

Polisi nchini Israeli wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina aliyekuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja huko Jerusalem.

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel:Mpalestina aliyesusia chakula yu mahututi

Mpalestina aliyefungwa nchini Israel ambaye amesusia chakula kwa takriban siku 60 amepoteza fahamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mpalestina auawa katika maandamano

Waziri wa Palestina amefariki kufutia mgogoro na wanajeshi wa Israel katika maandamano yaliyofanywa katika Ukingo wa Magharibi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpalestina mja mzito auawa na jeshi la Israeli

Mwanamke mmoja Mpalestina aliyekuwa mjamzito, na mwanawe wameuawa katika shambulio lililofanywa na majeshi ya Israel huko Gaza

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji auawa Israel

Raia mmoja wa Israel ameuawa katika mapambano ya kurushiana risasi na kuchomana visu katika kituo cha Basi kusini mwa mji wa Beersheva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana amjeruhi polisi wa Israel

Askari polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani