Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana amjeruhi polisi wa Israel

Askari polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel

Polisi nchini Israeli wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina aliyekuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja huko Jerusalem.

 

10 years ago

BBCSwahili

Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu

Wakili wa afisa aliyempiga risasi na kumuua kijana mweusi ambaye hakuwa na silaha amesema kuwa mteja wake amejiuzulu.

 

9 years ago

GPL

POLISI: TUMEMNASA KIJANA NA MABOMU KUMI

Mwandishi wetu JAMANI! Siku chache tu kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania kupitia msemaji wake, Advera Bulimba kupiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya kisiasa nchini kote kwa hofu ya kutokea kwa uvunjifu wa amani, kijana mmoja (jina halikupatikana mara moja) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga kwa madai ya kunaswa na mabomu 10 kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP Justus Kamugisha....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wamfunga pingu kijana, wamkimbia

MWANAKIJIJI wa Chalangwa, wilayani Chunya, Mbeya, Medi Wailes, ameshinda na pingu mikononi kwa zaidi ya saa nane baada ya polisi waliomfunga kuwakimbia wananchi waliopinga kukamatwa kwa kijana huyo kwa kosa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi Israel waweka vituo vya ukaguzi

Vikosi vya Israeli vimeanza operesheni kubwa ya maswala ya usalama katika maeneo ya kiarabu ya Jerusalem mashariki

 

9 years ago

StarTV

Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:

 

Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.

Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4

Katika kikao na waandishi wa habari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi wa Guinea amjeruhi mwanawe

Polisi nchini Marekani wameshindwa kumkamata balozi wa Equatorial Guine mjini Washngton.

 

10 years ago

Mwananchi

Amjeruhi mtoto kwa wizi wa paka

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata mgongoni kwa madai ya kuiba paka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani