Polisi wamfunga pingu kijana, wamkimbia
MWANAKIJIJI wa Chalangwa, wilayani Chunya, Mbeya, Medi Wailes, ameshinda na pingu mikononi kwa zaidi ya saa nane baada ya polisi waliomfunga kuwakimbia wananchi waliopinga kukamatwa kwa kijana huyo kwa kosa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wazazi wamfunga mnyororo kijana kwa miaka mitatu
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Mwadui yaitia pingu Polisi Mara
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Kijana amjeruhi polisi wa Israel
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1xh4yl1OR-FxRRGoJVkSONp*oYpxr1vQN4jlbCBbZqy5oCqtLpdgEbUKGVRceVi2eaJS5Tg0z--IwNxOW8v2j6z/polisi.jpg?width=650)
POLISI: TUMEMNASA KIJANA NA MABOMU KUMI
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu
9 years ago
StarTV06 Jan
Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:
Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.
Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4
Katika kikao na waandishi wa habari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ9brYadeQkWPuJJBYJwMcfMPB86pfU8AFt8gNKBlEWJnhK35TvQ98oqp95uaZSgNIKuLne0y8QeW3JTciGUw93u/VIGOGO.jpg)
VIGOGO WIZARA YA UJENZI WAMKIMBIA MAGUFULI!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvXzJ70P4sM/XpVuImyF6fI/AAAAAAALm6E/OG5jeEZI3cc-1CAA7vgINF6NyhfLgRcxACLcBGAsYHQ/s72-c/cf4504b5-09e4-45f9-b077-2f7f8a6b7248.jpg)
ALI KIBA APATA PIGO, WASANII WAKE WAWILI WAMKIMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvXzJ70P4sM/XpVuImyF6fI/AAAAAAALm6E/OG5jeEZI3cc-1CAA7vgINF6NyhfLgRcxACLcBGAsYHQ/s320/cf4504b5-09e4-45f9-b077-2f7f8a6b7248.jpg)
Charles James, Michuzi TV
PIGO! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wasanii wawili, Killy na Cheesy kutoka Lebo ya Kings Music inayomilikiwa na Supastaa, Ali Kiba kutangaza kujitoa kwenye lebo hiyo.
Taarifa za kujitoa kwa wakali hao zimeanza kusambaa leo baada ya wasanii hao wenyewe kuandika kwenye mitandao yao ya Instagram lakini hawajaweka sababu za kujitoa kwao.
" Naitwa Ally Killy maarufu kama Lilly nikijulikana kama msanii wa Kings Music Records, napenda kuwajulisha fans wangu wote waliokua...