Mwadui yaitia pingu Polisi Mara
Timu ya soka ya Mwadui imeishushia kipigo cha mabao 5-1 Polisi Mara kwenye mchezo wa Ligi ya Daraja la Kwanza uliofanyika Uwanja wa Mwadui, Shinyanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Polisi wamfunga pingu kijana, wamkimbia
MWANAKIJIJI wa Chalangwa, wilayani Chunya, Mbeya, Medi Wailes, ameshinda na pingu mikononi kwa zaidi ya saa nane baada ya polisi waliomfunga kuwakimbia wananchi waliopinga kukamatwa kwa kijana huyo kwa kosa...
10 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA


9 years ago
StarTV31 Dec
Polisi Mara yawatia mbaroni watu 72
Polisi mkoani wa Mara wamefanikiwa kuwakamata watu 72 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kukutwa na misokoto 2800 ya bangi ,Pombe aina ya Gongo,bunduki na Risasi pamoja na pikipiki zilizoporwa kutokana na Oparesheni maalumu ya kupambana na uhalifu na wahalifu zinazoendelea katika wilaya za Bunda,Serengeti,Butiama Na Musoma.
Akizungumza na Vyombo vya Habari mjini Musoma, Kamanda wa jeshi la Polis mkoa wa Mara kamishina Msaidizi wa polisi Phillip Kalangi, amesema kuwa katika Oparation hizo ambazo...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Azam yaitia presha Yanga
11 years ago
KwanzaJamii15 Aug
Dawasco yaitia serikali hasara ya Sh. bilioni 27
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Arsenal yaitia aibu Man United
11 years ago
BBCSwahili09 Oct
Facebook bandia yaitia Marekani matatani
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Benki ya China yaitia wasiwasi Marekani
11 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani azindua Kituo cha Polisi Natta,Wilayani Serengeti Mkoani Mara