Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa Guinea amjeruhi mwanawe

Polisi nchini Marekani wameshindwa kumkamata balozi wa Equatorial Guine mjini Washngton.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mdau Ruger Kahwa akiwa na Balozi wa Papua New Guinea katika Umoja wa Mataifa

Mdau Ruger Kahwa  ambaye ni mkuu wa ofisi ya United Nations Office   for the Coordination of Humanitarian Affairs(UNOCHA) nchini Papua New Guinea  akiwa na balozi wa Papua new Guinea  katika Umoja  wa Mataifa , Amb. Robert Aisi (kulia) na mwakilishi wa FAO nchini Papua New Guinea(kushoto) mara  baada ya Balozi  Aisi kufanya mazungumzo na   PNG United Nations  Country Team.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana amjeruhi polisi wa Israel

Askari polisi mmoja wa Israel, ameumia vibaya aliposhambuliwa kwa kisu katika eneo la mashariki mwa Jerusalem, ambalo linakaliwa na Israel.

 

10 years ago

Mwananchi

Amjeruhi mtoto kwa wizi wa paka

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata mgongoni kwa madai ya kuiba paka.

 

11 years ago

GPL

BOSI AMJERUHI MFANYAKAZI WAKE, AZIMIA

Stori: Makongoro Oging’
Mfanyakazi wa kike Eugenia John, anayefanya kazi katika duka linalouza vifaa vya simu Mtaa wa Aggrey, Kariakoo jijini Dar es Salaam anadaiwa kupigwa na kujeruhiwa hadi kuzimia na bosi wake aliyejulikana kwa jina moja la Chuwa. Chanzo chetu cha habari kinadai kwamba tukio hilo lilitokea hivi karibuni na wakati mfanyakazi huyo anapigwa imedaiwa alikuwa akilia kwa uchungu kitendo kilichowafanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfuasi wa 'Islamic State' amjeruhi mwalimu Paris

Polisi nchini Ufaransa wanamtafuta mwanaume aliyemdunga na kujeruhi mwalimu katika shule moja iliyoko katika kitongoji cha jiji la Paris Ufaransa

 

10 years ago

GPL

MARIA SOLOMA AMJERUHI MENEJA, APIGWA STOP MAPACHA WATATU!

Mnenguaji wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Maria Soloma. Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Maria Soloma amepigwa stop kuingia kwenye maonesho ya Bendi ya Mapacha Watatu kutokana na kitendo alichokifanya cha kumpiga chupa meneja wa Mapacha, Hamisi Dakota. Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mwanadada...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka

Mume amcharanga mkewe kwa kumshuku kuwa ana bwana anyempa kiburi kutoka Singapore,na ambaye humrejesha nyumbani mara moja kwa mwezi.

 

11 years ago

Habarileo

Mama, mwanawe wachinjwa

WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mwanawe

BABA mzazi anatuhumiwa kumuua mwanawe katika kijiji cha Igalla wilayani Ukerewe katika ugomvi wa shamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani