Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyewashambulia polisi Denmark auawa

Polisi kwenye mjini Copenhagen wanaamini mwanamume waliyemuua kwa kumpiga risasi alihusika na mashambulizi ya risasi mjini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPALESTINA ALIYEWASHAMBULIA POLISI AUAWA

Mwanaume Mpalestina (mwenye jaketi la njano) mjini Jerusalem akimshambulia polisi wa Israel kwa kisu. ...Akiendelea kumchoma kwa kisu polisi. Polisi wakimuokoa mwenzao katikati baada ya kuchomwa kisu na mwanaume huyo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel:Mpalestina aliyewashambulia polisi auawa

Polisi wa Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi mwanamume Mpalestina mjini Jerusalem baada ya kujaribu kuwashambulia.

 

11 years ago

Michuzi

congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark

H.E Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark on 5th June 2014.


“Your Majesty Queen Margrethe II,

   The Queen of Denmark,

   Copenhagen,

   DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...

 

10 years ago

StarTV

Polisi auawa Kenya.

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.

Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

BBC

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi auawa katika maandamano Bahrain

Wizara ya maswala ya ndani nchini Bahrain imesema kuwa polisi mmoja aliyejeruhiwa katika mlipuko siku ya ijumaa ameaga dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afisa mkuu wa polisi auawa Misri

Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema afisa wa ngazi ya juu wa polisi nchini Misri ameuawa katika shambulio la bomu katika mji mkuu Cairo.

 

11 years ago

Mwananchi

Auawa baada ya kuwacharanga mapanga polisi

Mtu mmoja ameuawa na wananchi baada ya kuwajeruhi askari wawili kwa panga katika Kituo cha Polisi Butiama, Kata ya Makongoro, Wilaya ya Butiama mkoani Mara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Libya

Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameuawa na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye mkutano wa usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani