Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya

Shabiki wa klabu ya soka ya Uingereza ya Liverpool amedungwa kisu na mwenzake wa Arsenal na kufariki dunia baada ya mechi ya Jumamosi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shabiki wa Brazil auawa Kenya

Mashabiki wawili wa kandanda waliuawa Magharibi mwa Kenya kufuatia matokeo ya mechi ya Brazil na Colombia

 

10 years ago

GPL

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA

Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania. Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia. John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen...

 

10 years ago

Vijimambo

SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO

Shabiki wa Newcastle John Kearsley aliyeuawa na Pundamilia.
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.

John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela alikuwa shabiki wa Man U, Liverpool au Arsenal?

Enzi za uhai wake hakuwahi kutamka wazi timu anayoishabikia zaidi ya kusema kuwa yeye ni mtu anayependa michezo, lakini hiyo haijaifanya dunia iache kuamini kuwa ipo timu moja anayoipenda kuliko nyingine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shabiki amng'ata mwenziwe Kenya

Mwanamume mmoja mjini Kisumu magharibi mwa Kenya, alimng'ata sikio jirani yake baada ya mechi ya soka ya ligi ya uingereza iliyokuwa na matokeo yasiyo ya kuridhisha kwa mmoja wao.

 

10 years ago

StarTV

Polisi auawa Kenya.

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.

Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge auawa nchini Kenya

Mbunge mmoja ameuawa kwa kupigwa risisi kwenye mji mkuu wa kenya Nairobi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa dini auawa nchi Kenya

Watu wasiojulikani kwenye mji wa pwani nchini Kenya ,Mombasa wamemuua kwa kumpiga risasi kiongozi mashuhuri wa dini ya kislamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani