Shabiki wa Brazil auawa Kenya
Mashabiki wawili wa kandanda waliuawa Magharibi mwa Kenya kufuatia matokeo ya mechi ya Brazil na Colombia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
''Shabiki'' wa Liverpool auawa Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JwaH2xufXqQe4gTGuy3MT-OnAssGeflMQCar2T24EnxJyx3V98kV*cqWRD5oWxtAnjIzrLHECCYVErQ28JbvOe/d.jpg)
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHABIKI WA NEWCASTLE AUAWA NA PUNDAMILIA BONGO
![](http://api.ning.com/files/QFZtM12iNiD5R53GmH1HHVmHWK5vT43CN38z9VJxOg1Br56WHUG0HJVWsR6In0UO1Su8kJ4opoeP4hNlNXOBHWf6WbOIrWzL/shabikinewcast.jpg)
Mwandishi wetu
INASHANGAZA! Shabiki mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya Newcastle, John Kearsley (38) ameuawa baada ya kukanyagwa na pundamilia alipokuwa matembezini katika mbuga za wanyama nchini Tanzania.
John, alikuwa na ziara ya siku 12 nchini Tanzania ambayo aliiandaa kwa muda mrefu kwa lengo la kusherehekea kutimiza miaka 10 ya ndoa yake na mkewe, Doreen akiongozana na ndugu zake wawili katika ziara hiyo iliyoishia kwa...
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Shabiki amng'ata mwenziwe Kenya
10 years ago
StarTV23 Dec
Polisi auawa Kenya.
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.
Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.
BBC
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
10 years ago
StarTV16 Jun
Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/22/141022111140_al_shabaab_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya
Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.
Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.
Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.
Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...
10 years ago
Habarileo19 Sep
Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime
WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.