Lulu: Mnanipa Bichwa Mwenzenu
Staa mrembo wa Bongo Movies anayependwa na wengi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewapasha mashabiki wake mtandaoni kuwa wanavyozidi kumwagia misifa kwa urembo wake wanasababisha ajione kuwa yupo juu sana wakati yeye ni wakawaida.
“Mnajua mkiniongelea Sana mnanipa Bichwa Mwenzenunaanza kuona Kama bila mm vitu haviwezekani hivi
Msinifanyie hvyo…Najikuta MATAWI mwenzenu
wakati Sina lolote
”-Lulu
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2C0pPmZLjzNZ3IrseuvQW8KVzTDAeaEWyLMvt8B7GdTC7jpAN2Fl04GMcPb6AZHR*pzA2V4rDnwlPwzA5tdBqZ/PICHAYAKIJANA.jpg?width=650)
WANANCHI NISAIDIENI MWENZENU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r5zLrJ5rlMMNboipKuMapR4fudvBxjJWXzeMUzo6og12VGYz6agc*NDrfbQ5H8coC84a93sJim4PGRYxgryBCDg/Gonjwa.jpg?width=650)
‘KILICHONIPATA MWENZENU NI MUNGU TU’
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...