Stars yachezea lulu baharini
Ni kama kuchezea lulu baharini. Ndivyo, unavyoweza kueleza matokeo ya mchezo baina ya Taifa Stars ya Tanzania dhidi ya Algeria uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s72-c/CHE%2B1.jpg)
HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFiW4szhchg/VUGsxEIEKBI/AAAAAAAA79c/LMAazD8Q7uc/s1600/CHE%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FZcsTfEi8mA/VUGsxRAVZtI/AAAAAAAA79g/W421Xhfpkdg/s1600/CHE%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6jFFVuz3nWw/VUGsxa_2UPI/AAAAAAAA79k/lhatEWudGnI/s1600/CHE%2B3.jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0seExhExu2EFbLgeVB1j*U30748gA8CVHI7fUtS2XssAW4mupDaGlpciM5PpM0qL2zkrPeWTRIn2daQYxVaucZB6/Afumaniwa.jpg?width=650)
AFUMANIWA, AJITOSA BAHARINI
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Viumbe wa ajabu wa baharini
WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu. Ndio maana kila...
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Miili 40 yaopolewa baharini
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Huenda 800 waliangamia baharini
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Ajira baharini Sierra Leone