Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miili 40 yaopolewa baharini

Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Ajali ya AirAsia, Miili 40 yaopolewa baharini.

Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini katika utafutaji wa mabaki ya ndege hiyo na utafutaji unaendelea.

Miili hiyo ilionekana ikielelea karibu na taka za bahari pwani ya Indonesia,eneo la Borneo moja ya eneo la utafutaji mabaki ya ndege hiyo.Na taarifa kutoka serikali ya Indonesia zimethibitisha kwamba miili hiyo inatoka katika ndege iliyopotea.

Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200,ilikuwa imebeba abiria mia moja...

 

5 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Rohingya: 'Miili ilikuwa inarushwa baharini usiku'

Khadiza Begum, mkimbizi wa Rohingya, aliondoka Myanmar kukimbia ghasia lakini akakumbana na makubwa baharini.

 

9 years ago

GPL

AFUMANIWA, AJITOSA BAHARINI

Chande abdallah na issa mnally AIBU! Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Zuhura maarufu kama Lolo Princessa ambaye ni mpenzi wa kijana anayejulikana kama Koko Byanco juzikati alijikuta akipata aibu kubwa baada ya kufumaniwa akiwa na mwanaume mwingine kiasi cha kusababisha mchepuko huo kujitosa baharini katika ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam kukwepa kipigo. Soma zaidi===>http://bit.ly/1GaLPk2 ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viumbe wa ajabu wa baharini

WATU wengi wanadhani kuwa utafiti kuhusiana na wanyama umekamilika. Lakini ukweli ni kuwa bado kuna maswali mengi sana kuhusiana na maisha ya wanyama mbalimbali ambayo hayajapatiwa majibu. Ndio maana kila...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ajira baharini Sierra Leone

Vijana waliojipa ajira kwa kuanzisha mchezo wa kuteleza kwa mawimbi baharini Sierra Leone

 

10 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji waliokwama baharini waokolewa

Hatimaye Malaysia, Thailand na Indonesia zimekubaliana kuwapa makazi ya muda wahamiaji 7000 waliokwama baharini

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Ndege ilianguka baharini

Waziri mkuu wa Malaysia Najib Razak amesema kuwa ndege hiyo ilianguka Kusini mwa Bahari Hindi, bila ya manusura wowote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi 8000 wakwama baharini

Shirika la kimataifa la wahamiaji IOM, linasema kuwa maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladesh na Myanmar, wamekwama baharini

 

10 years ago

BBCSwahili

Huenda 800 waliangamia baharini

Umoja wa Mataifa unasema kuwa huenda watu 800 walifariki Jumapili, pale mashua waliyokuwa wakilitumia ilipozama baharini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani