Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Search Habari za Tanzania .

Unaweza Pia kushare kwenye Facebook matokeo ya utafutaji,Tumia tab ya Share.



Matokeo ya Utafutaji

5 years ago

Michuzi

HESLB: TUMEANZA MAANDALIZI YA MALIPO KWA WANAFUNZI NA VYUO

Tunapenda kuwajulisha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu inayotolewa na Serikali kupitia HESLB kuwa, tumeanza kufanya malipo yenye jumla ya thamani ya TZS 63.7 bilioni ikiwa ni fedha za chakula na malazi kwa ajili ya robo ya tatu ya mwaka wa masomo 2019/2020 na fedha hizo zitawafikia wanufaika wote kupitia vyuo vyao ifikapo Alhamisi, Mei 28, 2020.

Katika taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano ilisema kuwa hatua hiyo  ya kuanza kufanya malipo inafuatia maelekezo ya...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Why you pay more than your principal loan to HESLB

Why you pay more than your principal loan to HESLB  The Citizen Daily

 

9 years ago

Dewji Blog

CAG sasa kuwabana waajiri mikopo ya HESLB

Mkurugenzi Mtendaji - Bw. George Nyatega (4)

Mkurugenzi Mtendaji – Bw. George Nyatega.

Na Mwandishi Wetu

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeanza kukagua taasisi za umma kuhusu utekelezaji wa matakwa ya sheria inayowataka kuwatambua waajiriwa walionufaika na mikopo ya elimu ya juu na kuwasilisha makato kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. George Nyatega, sheria iliyoanzisha HESLB inazitaka taasisi zzote za umma kuijulisha Bodi kwa maandishi...

 

9 years ago

Michuzi

Nafasi ya kazi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)

Wadau, Nafasi ya kazi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) itakuwa wazi kuanzia Mwezi Septemba, 2016. Mchakato wa kumpata mrithi wa Bw. George Nyatega (Mkurugenzi Mtendaji wa sasa) umeanza. Kwa mwenye sifa afungue link hii http://www.heslb.go.tz/images/adverts/JOB_POSITION_ED_2015.pdf . Kila la heri.

 

9 years ago

Mwananchi

HESLB: Wenye sifa ya kukopeshwa wamepata wote

Siku tatu baada ya wanafunzi waliokosa mikopo ya kujiunga na elimu ya juu kujitokeza katika ofisi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), wakishinikiza kushughulikiwa madai yao, uongozi wa Bodi hiyo umesema kundi la wanafunzi wote waliokuwa na sifa ya kupata mikopo wameshapata.     

 

9 years ago

IPPmedia

HESLB Director of Information, Education and Communication Cosmas Mwaisoba


IPPmedia
HESLB Director of Information, Education and Communication Cosmas Mwaisoba
IPPmedia
There are no more funds to loan more than 2000 applicants for the 2015/2016 academic year, the Higher Education Students' Loan Board (HESLB) announced yesterday. HESLB Director of Information, Education and Communication Cosmas Mwaisoba told ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mikopo ya wanafunzi 40,836 tayari- HESLB

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), imewapangia mikopo wanafunzi 40,836 baada ya kukidhi vigezo vyake.

 

9 years ago

IPPmedia

The HESLB Executive Director, George Nyatega


IPPmedia
The HESLB Executive Director, George Nyatega
IPPmedia
The Higher Education Students' Loans Board (HESLB) yesterday issued loans to 28,554 students out of 50,830 applicants for academic year 2015/2016. The total number of students who have received loans has now reached 40,836. The loans amounting to ...
Loans Board says it has served 80pc applicantsDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

TheCitizen

HESLB new list of beneficiaries out

The Higher Education Students Loans Board (HESLB) has refuted reports that it has no intention of issuing loans to new applicants in the 2015/16 academic year.

 

9 years ago

TheCitizen

Students’ strike brewing, Bavicha cautions HESLB

Chadema youth wing (Bavicha) has given the Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) 72 hours to issue a clarification on why a majority of students have missed loans for the academic year that has just started.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani