Matokeo ya Utafutaji
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Linah hata kama unapiga ‘masanga’, piga kwa stepu!
KWAKO ndege mnana, Esterlina Sanga ‘Linah’, uhali gani mtoto mwenye sauti ya kipekee uliyetokea kwenye Jumba la Vipaji Tanzania (THT)? Shughuli zinakwendaje?
Kama muungwana, nimekukumbuka leo kwa barua. Kitambo kidogo hatujaonana.
imeona bora nikuandikie ili kufikisha kile ambacho kipo ndani ya nafsi yangu.
Ukitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Namshukuru Mungu maisha yanasonga kama kawa, huku nikiendelea kupambana katika shughuli za kila siku ili mkono uende kinywani, si unajua mjini...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar
Jan 2 2016 mastaa wa Bongo Shilole, Linah, Baba Levo, Bonge la nyau, Bill Nas na wengine walijumuika Zanzibar na kutoa burudani ya kufungulia mwaka. Hapa nakukutanisha na matukio mbalimbali katika picha kwenye show hiyo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar appeared first on...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Mh. diwani laivu akimbambia Linah!
Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Mwanga Kigoma-Kaskazini, Clayton Revocatus ‘Baba Levo’, akimbambia Linah.
Musa mateja
HII ni aibu ya kufungulia mwaka 2016! Mheshimiwa Diwani wa Kata ya Mwanga Kigoma-Kaskazini, Clayton Revocatus ‘Baba Levo’, amenaswa laivu akimbambia staa wa Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ usiku mnene, Ijumaa limeshuhudia tukio hilo mwanzo mwisho.
SIKU YA TUKIO
Tukio hilo la aina yake lilitokea usiku wa kuamkia Desemba 29, Mwaka huu Kijitonyama jijini Dar, ambapo wawili hao...
9 years ago
Bongo519 Dec
Uoga wangu unaniponza jukwaani – Linah
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Ijumaa hii, Linah alipanda kwenye jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015, lakini amegundua kuwa uoga unamponza.
Akizungumza na Bongo5 akiwa Nigeria, Linah amesema woga unamfanya apoteze kujiamini jukwaani.
“Kwa jinsi nilivyofanya show, naona njia ni nyeupe ya kuwa staa wa kimataifa, kikubwa kujiamini na kujikubali. Uoga huwa unaniangusha, sura ngeni, muziki wangu mgeni, lugha niliyotumia pia labda...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo
Estelina Peter Sanga.
Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo
NA MWANDISHI WETU
WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s72-c/indexM.jpg)
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s400/indexM.jpg)
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...
9 years ago
Bongo517 Dec
Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos
![12301250_207304429604231_67909760_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301250_207304429604231_67909760_n-300x194.jpg)
Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.
Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.
“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.
Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia
9 years ago
Bongo502 Dec
Linah nimesha kamilisha Collabo za kimataifa mbili kubwa bado kuzitoa tu
![linah 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/linah-2-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva Linah Sanga a.k.a ndege Mnana ameweka wazi kwamba tayari ameshafanya kolabo mbili na wasanii wa kimataifa na amejipanga kuzitoa mwakani.
Linah akiongea na mtandao wa Saluti5 amesema kuwa, “Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa na nashukuru tayari nimefanikiwa, ila siwezi kuweka wazi nimefanya na nani na nchi gani,” alisema Linah. kikubwa kwake ni kwamba ameshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki ila amedai mashabiki wake...
9 years ago
Bongo527 Nov
Linah ana collabo mbili za kimataifa kibindoni
![12298833_944662165599178_1629279455_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12298833_944662165599178_1629279455_n-300x194.jpg)
Linah Sanga amesema tayari ameshafanya collabo mbili na wasanii wa kimataifa na amepanga kuzitoa mwakani.
Ameiambia Bongo5 kuwa kazi hizo zitatoka mwakani kutokana na muda uliobaki kila msanii kutaka kutoa wimbo.
“Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa. Nashukuru tayari nimefanikiwa ila siwezi kuziweka wazi nimefanya na nani na nchi gani.
Lakini ni kubwa na nimeshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki. Ila mashabiki wangu sitawaacha hivyo hivyo,...