Matokeo ya Utafutaji
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Joto la Mapenzi – 53
ILIPOISHIA:
“Samahani Ambe sikuwa na maana hiyo,” Leila ilibidi ajisalimishe. “Nipe namba ya mkuu wa polisi aliyekutuma nimweleze kuwa nipo huku na sehemu gani ili atume polisi wa huku waje wanikamate.”
Ambe ambaye alitegemea kupata maneno matamu baada ya safari ndefu ya mateso ya kukatisha tamaa. Aliamini mpenzi wake hana mapenzi tena na yeye hata mwaliko aliomualika ulikuwa wa uongo ili kumkamatisha.SASA ENDELEA…
“Ambe…Ambe.. ni maneno gani hayo mpenzi wangu? Unayoniambia, kosa langu nini...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Joto la Mapenzi 52
ILIPOISHIA:
“Yaani nakumbuka wakati nimelala nilipapaswa na kufumbua macho na kumuona Ambe na kuzungumza naye, toka hapo sikulala mpaka nilipokuja kwako. Sasa jamani kuna ndoto ya mtu kuota akiwa macho?”
“Kwa kweli bado umenipa wakati mgumu wa kujua ilikuwa ndoto au kweli!”
SASA ENDELEA…
Lakini naweza kuamini ilikuwa kweli kutokana na simu iliyopigwa na wewe kusema haikuwa yake. Lakini naamini aliyepiga simu alikuwa shemeji wala si mtu mwingine.”
“Inawezekana eeh!”
“Inawezekana kabisa, kama...
9 years ago
Bongo Movies09 Oct
Jayjay Nimeumizwa na Mapenzi!
MAUMIVU niache! Msanii wa filamu ya Who Is My Child, Janeth Jackson ‘Jayjay’ amekiri kuumizwa na kulizwa na mapenzi mara kwa mara licha ya kuwa na muonekano wenye mvuto machoni kwa wanaume jambo linalomnyima amani ya maisha.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jayjay alisema si rahisi kwa watu kuamini ukweli huo kutokana na uzuri wake wa umbo na sura, lakini ukweli ni kwamba hana furaha juu ya mapenzi kufuatia wanaume wengi kumtumia kisha kumkimbia bila kutimiza ahadi zao.
“Sina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4plQ7q-eLOgozVskdQPa2yQHl9HYjjcUW2oFR9bmPKk9Y4qoC3FU2dNkCmr-5049fUTD9LhRCWjptlAEvCM51YJ/happy_couple.jpg?width=650)
MAPENZI YANA MAUMIVU LAKINI YANASAHAULIKA!
9 years ago
Vijimambo24 Aug
PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI
![](http://citifmonline.com/wp-content/uploads/2015/04/black-happy-couple.jpg)
Wiki iliyopita tulizungumza kuhusu kitu gani mapenzi yalikufanyia. Leo nitazungumza na wale walioumizwa na mapenzi na kutamani kuyaepuka, wakati ukweli ni kwamba hayaepukiki moja kwa moja isipokuwa labda kwa muda.
Najua wengi mnaweza kushangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe, pamoja na kuumizwa, kuteswa, kusimangwa, kutukanwa, kupigwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/LGdhCycw6D-ZkN27MQFoG-MfL*q9ZnMtT2vnSMn*9myDvqEMGun2Sr4XJQkye6B2PL8U*IZ4SBOVcAzx9jiEsgponZGaIPDB/unhappymarriage.jpg?width=650)
PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun3K43xaKBymzPSwInyj9z1tuvZQoCdy6mh5tuRxD3jW6fvMQm4OePQTWtvfVq-7PedEaqU2mHHPQ53YzFLB3NMT/Kiba.jpg)
JOKATE: WAZAZI WASIINGILIE MAPENZI YA WATOTO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cog6P*b0AmXUarEeSt4wchvBgmekA1ZlfjYWNYEV7ckASgmkBGT5cZNqz1obXuanmJ-aljN9pENAdobPZN0HA0F*/couplehappilysleeping.jpg?width=650)
HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dX7FfWdInUzEjbJeKCXXUIYiavkZoyn-xFp0V9Fon1sDxq2lLfqEnJd0Lj6U16HQ8yK-zNG-Jza5m4XyWkJgeoM/GLOBALTV23.jpg)
MAPENZI YA WOLPER KWA LOWASSA USIPIME!
10 years ago
Vijimambo03 Aug
USIFAKAMIE MAPENZI ETI UNAONDOA ‘STRESI’!
![](http://api.ning.com/files/BDlvIDeZhzjwoD1FpdF8Et1ncEZJOW6P8Tln5kalqm7KZXf8Qb8buz1D6EnJGYuI6p2nGCXwF2kbGwt7uYhv4MZj-BSDUM5q/couples.jpg?width=650)
Leo nitazungumzia baadhi ya watu kufanya faragha kuwa ni sehemu ya kuondoa ‘stresi’ (msongo).
Kama ulikuwa hujui, kwa taarifa yako hata faragha yenyewe haihitaji stresi, sasa unakuwa mtu wa ajabu unapofanya mapenzi kwa maana ya kuondoa stresi. Huwezi kufanya jambo hilo...