Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Search Habari za Tanzania .

Unaweza Pia kushare kwenye Facebook matokeo ya utafutaji,Tumia tab ya Share.



Matokeo ya Utafutaji

9 years ago

Global Publishers

Joto la Mapenzi – 53

ILIPOISHIA:

“Samahani Ambe sikuwa na maana hiyo,” Leila ilibidi ajisalimishe. “Nipe namba ya mkuu wa polisi aliyekutuma nimweleze kuwa nipo huku na sehemu gani ili atume polisi wa huku waje wanikamate.”

Ambe ambaye alitegemea kupata maneno matamu baada ya safari ndefu ya mateso ya kukatisha tamaa. Aliamini mpenzi wake hana mapenzi tena na yeye hata mwaliko aliomualika ulikuwa wa uongo ili kumkamatisha.SASA ENDELEA…

“Ambe…Ambe.. ni maneno gani hayo mpenzi wangu? Unayoniambia, kosa langu nini...

 

9 years ago

Global Publishers

Joto la Mapenzi 52

ILIPOISHIA:

“Yaani nakumbuka wakati nimelala nilipapaswa na kufumbua macho na kumuona Ambe na kuzungumza naye, toka hapo sikulala mpaka nilipokuja kwako. Sasa jamani kuna ndoto ya mtu kuota akiwa macho?”

“Kwa kweli bado umenipa wakati mgumu wa kujua ilikuwa ndoto au kweli!”

SASA ENDELEA…

Lakini naweza kuamini ilikuwa kweli kutokana na simu iliyopigwa na wewe kusema haikuwa yake. Lakini naamini aliyepiga simu alikuwa shemeji wala si mtu mwingine.”

“Inawezekana eeh!”

“Inawezekana kabisa, kama...

 

9 years ago

Bongo Movies

Jayjay Nimeumizwa na Mapenzi!

MAUMIVU niache! Msanii wa filamu ya Who Is My Child, Janeth Jackson ‘Jayjay’ amekiri kuumizwa na kulizwa na mapenzi mara kwa mara licha ya kuwa na muonekano wenye mvuto machoni kwa wanaume jambo linalomnyima amani ya maisha.

Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jayjay alisema si rahisi kwa watu kuamini ukweli huo kutokana na uzuri wake wa umbo na sura, lakini ukweli ni kwamba hana furaha juu ya mapenzi kufuatia wanaume wengi kumtumia kisha kumkimbia bila kutimiza ahadi zao.

“Sina...

 

9 years ago

GPL

MAPENZI YANA MAUMIVU LAKINI YANASAHAULIKA!

Ni wiki nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya XXlove tunakutana tena jamvini hapa kwa neema na rehema za Mwenyezi Mungu. Leo tunaangalia ni kwa namna gani mapenzi yanaweza kuwa sumu kali inayosambaa kwa haraka sana katika miili ya wanadamu wa jinsi zote. Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote...

 

9 years ago

Vijimambo

PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI

Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wote waliotuma ujumbe na hata wengine kupiga, kupongeza na kushauri kuhusu mada ya wiki iliyopita katika safu yetu hii ya XXLove.

Wiki iliyopita tulizungumza kuhusu kitu gani mapenzi yalikufanyia. Leo nitazungumza na wale walioumizwa na mapenzi na kutamani kuyaepuka, wakati ukweli ni kwamba hayaepukiki moja kwa moja isipokuwa labda kwa muda.

Najua wengi mnaweza kushangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe, pamoja na kuumizwa, kuteswa, kusimangwa, kutukanwa, kupigwa...

 

9 years ago

GPL

PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI

Nianze kwa kuwashukuru wasomaji wote waliotuma ujumbe na hata wengine kupiga, kupongeza na kushauri kuhusu mada ya wiki iliyopita katika safu yetu hii ya XXLove. Wiki iliyopita tulizungumza kuhusu kitu gani mapenzi yalikufanyia. Leo nitazungumza na wale walioumizwa na mapenzi na kutamani kuyaepuka, wakati ukweli ni kwamba hayaepukiki moja kwa moja isipokuwa labda kwa muda. Najua wengi mnaweza kushangaa lakini huo ndiyo ukweli...

 

9 years ago

GPL

JOKATE: WAZAZI WASIINGILIE MAPENZI YA WATOTO

Brighton Masalu SIKU chache baada ya gazeti dada ya hili la Ijumaa Wikienda kuripoti juu ya wazazi wa Urban Mwegelo ‘Kidoti’ kumkataa Ali Kiba kama mchumba wake, binti huyo ameibuka na kuwataka wazazi kote nchini kuacha kuwaingilia watoto wao katika masuala ya kimapenzi, akidai jambo hilo ni vema wakiachiwa wenyewe.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LiDARr ...

 

9 years ago

GPL

HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?

Mpenzi msomaji wa safu hii ya XXLove, shukrani nyingi zikufikie kwa maoni na ushauri wako. Baada ya wiki iliyopita kukupa mbinu za kupigania penzi lako kwa maana ya kulia au kulisusa siyo dawa, wiki hii napenda nijue wewe msomaji wa makala haya, mapenzi yamekufanyia nini? Ninaamini kila mtu atakuwa na jibu kulingana na vile mapenzi yalivyomfanyia katika maisha yake ya uhusiano.Kwa kuanza tu, wapo watu waliofika ughaibuni kwa...

 

9 years ago

GPL

MAPENZI YA WOLPER KWA LOWASSA USIPIME!

Mwandishi wetu MAPENZI! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’, amezidi kujipambanua mapenzi yake kwa mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kwa kusema; “nampenda Lowassa hadi naumwa.”  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/CsolWB

 

10 years ago

Vijimambo

USIFAKAMIE MAPENZI ETI UNAONDOA ‘STRESI’!

KARIBU mpenzi msomaji wa XXLove tupeane elimu ya mapenzi ambayo tunaamini ‘yana-rani’ dunia. Wiki iliyopita tulizungumzia mpenzi ambaye akipendwa inakuwa ni karaha, akichuniwa pia inakuwa ni shida, sijui anataka afanyiwe nini?

Leo nitazungumzia baadhi ya watu kufanya faragha kuwa ni sehemu ya kuondoa ‘stresi’ (msongo).
Kama ulikuwa hujui, kwa taarifa yako hata faragha yenyewe haihitaji stresi, sasa unakuwa mtu wa ajabu unapofanya mapenzi kwa maana ya kuondoa stresi. Huwezi kufanya jambo hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani