Joto la Mapenzi 52
ILIPOISHIA:
“Yaani nakumbuka wakati nimelala nilipapaswa na kufumbua macho na kumuona Ambe na kuzungumza naye, toka hapo sikulala mpaka nilipokuja kwako. Sasa jamani kuna ndoto ya mtu kuota akiwa macho?”
“Kwa kweli bado umenipa wakati mgumu wa kujua ilikuwa ndoto au kweli!”
SASA ENDELEA…
Lakini naweza kuamini ilikuwa kweli kutokana na simu iliyopigwa na wewe kusema haikuwa yake. Lakini naamini aliyepiga simu alikuwa shemeji wala si mtu mwingine.”
“Inawezekana eeh!”
“Inawezekana kabisa, kama...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Joto la Mapenzi – 53
ILIPOISHIA:
“Samahani Ambe sikuwa na maana hiyo,” Leila ilibidi ajisalimishe. “Nipe namba ya mkuu wa polisi aliyekutuma nimweleze kuwa nipo huku na sehemu gani ili atume polisi wa huku waje wanikamate.”
Ambe ambaye alitegemea kupata maneno matamu baada ya safari ndefu ya mateso ya kukatisha tamaa. Aliamini mpenzi wake hana mapenzi tena na yeye hata mwaliko aliomualika ulikuwa wa uongo ili kumkamatisha.SASA ENDELEA…
“Ambe…Ambe.. ni maneno gani hayo mpenzi wangu? Unayoniambia, kosa langu nini...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXL*AF1fmCWxUk86LDfmEGsL87oUWr3gJlJboJ6q2cnTzpuD9GK1w6Z-dQYlHlFSpt-pxxZmVytpiaVIzz6PqrOn/passionatecouple.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*Wm6yuRZ6x15Qf8WBae0pCp*0urHCnsE0m5RT-Dl6JZOiJXlfjNBxXiAeTqgTdh*8ZW1CyPtg6bBeSqPlUEafRo/mahaba.jpg?width=650)
KILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?