Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Search Habari za Tanzania .

Unaweza Pia kushare kwenye Facebook matokeo ya utafutaji,Tumia tab ya Share.



Matokeo ya Utafutaji

9 years ago

Mtanzania

Mchujo wa Necta kuanzia darasa la pili

dk-charles-e-msondeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

BARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) limesema ili  kutekeleza sera ya elimu ya mwaka 2014, watoto wataanza kukariri darasa kuanzia  wakiwa darasa la pili.

Alisema hatua hiyo itachukuliwa  endapo watashindwa   mtihani wa kujipima ambao utaanza rasmi mwakani kwa wanafunzi wa ngazi hiyo ya elimu.

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde, aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili.

Alisema kufanyika kwa mitihani hiyo kunakwenda sambamba na...

 

10 years ago

Daily News

Form Six results please NECTA


Form Six results please NECTA
Daily News
RESULTS for this year's National Form Six Examinations released here indicate that girls have continued to shine over boys percentage-wise, although the latter dominated in numbers. The Executive Secretary of the National Examinations Council of ...

 

10 years ago

GPL

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2015 kupitia tovuti yao. Kuyaona ingia:==>>…

 

10 years ago

Habarileo

Necta yasogeza muda usajili wa watahiniwa

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limesogeza muda wa kujisajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa ajili ya mtihani wa kidato cha nne.

 

10 years ago

IPPmedia

No more leakage of national examinations, says NECTA


No more leakage of national examinations, says NECTA
IPPmedia
The problem of leakage of national examinations has been controlled and eliminated, thanks to the National Examination Council of Tanzania (NECTA), examination operations committee and supervisors. Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, ...

 

10 years ago

Mwananchi

Necta yaziliza shule 50 Mbeya

Shule 50 za sekondari za mkoani hapa zimepata pigo baada ya matokeo ya watahiniwa wa kidato cha pili kuzuiwa na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) kwa madai ya kutolipia ada ya mitihani.

 

10 years ago

Vijimambo

NECTA YATANGAZA MATOKEO,WANAFUNZI WAPASI KIBAO.

Pichani niKatibu Mkuu wa Baraza la Mitiani nchini NECTA Dkt Charles E Msonde Akizungumza leo na Waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam NA KAROLI VINSENTBARAZA la Mitihani nchini NECTA limetangaza matokea ya kidato cha pili yaliyofanyika mwaka jana 2014 huku idadi kubwa ya wanafunzi wakiwa wamefaulu na kujiunga kidato cha tatu, ikiongeza kwa asilimia 92.66 ikilinganisha na mwaka 2013 ambapo idadi ya wanafunzi waliofaulu ilikuwa asilimia 89.34.Matokeo hayo yametangazwa leo Jijini Dar es...

 

10 years ago

Mwananchi

Necta yatangaza mfumo mpya

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limeanza mfumo mpya wa kupanga matokeo ya kidato cha nne mwaka huu na ya kidato cha sita mwakani, ambapo sasa madaraja yatapangwa kwa wastani wa pointi (GPA) badala ya jumla ya pointi.

 

11 years ago

Daily News

NECTA warns against form IV exam cheating


Daily News
NECTA warns against form IV exam cheating
Daily News
THE National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has issued a warning against students, supervisors and teachers who shall tamper with this year's Form Four examination regulations. “We want to maintain discipline and observe regulations during ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NECTA laboresha mfumo wa usahihishaji

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limesema katika kutekeleza majukumu yake limeweza kuboresha mfumo wa usahihishaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE). Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani