Matokeo ya Utafutaji
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Mchujo wa Necta kuanzia darasa la pili
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
BARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) limesema ili kutekeleza sera ya elimu ya mwaka 2014, watoto wataanza kukariri darasa kuanzia wakiwa darasa la pili.
Alisema hatua hiyo itachukuliwa endapo watashindwa mtihani wa kujipima ambao utaanza rasmi mwakani kwa wanafunzi wa ngazi hiyo ya elimu.
Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde, aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili.
Alisema kufanyika kwa mitihani hiyo kunakwenda sambamba na...
10 years ago
Daily News16 Jul
Form Six results please NECTA
Daily News
RESULTS for this year's National Form Six Examinations released here indicate that girls have continued to shine over boys percentage-wise, although the latter dominated in numbers. The Executive Secretary of the National Examinations Council of ...
10 years ago
GPLNECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA 6 NA UALIMU 2015
10 years ago
Habarileo18 Mar
Necta yasogeza muda usajili wa watahiniwa
BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limesogeza muda wa kujisajili kwa watahiniwa wa kujitegemea kwa ajili ya mtihani wa kidato cha nne.
10 years ago
IPPmedia24 Feb
No more leakage of national examinations, says NECTA
IPPmedia
The problem of leakage of national examinations has been controlled and eliminated, thanks to the National Examination Council of Tanzania (NECTA), examination operations committee and supervisors. Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, ...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Necta yaziliza shule 50 Mbeya
10 years ago
VijimamboNECTA YATANGAZA MATOKEO,WANAFUNZI WAPASI KIBAO.
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Necta yatangaza mfumo mpya
11 years ago
Daily News02 Nov
NECTA warns against form IV exam cheating
Daily News
Daily News
THE National Examinations Council of Tanzania (NECTA) has issued a warning against students, supervisors and teachers who shall tamper with this year's Form Four examination regulations. “We want to maintain discipline and observe regulations during ...
11 years ago
Tanzania Daima28 Oct
NECTA laboresha mfumo wa usahihishaji
BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limesema katika kutekeleza majukumu yake limeweza kuboresha mfumo wa usahihishaji wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE). Akizungumza na waandishi wa habari jijini...