Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchujo wa Necta kuanzia darasa la pili

dk-charles-e-msondeNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

BARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) limesema ili  kutekeleza sera ya elimu ya mwaka 2014, watoto wataanza kukariri darasa kuanzia  wakiwa darasa la pili.

Alisema hatua hiyo itachukuliwa  endapo watashindwa   mtihani wa kujipima ambao utaanza rasmi mwakani kwa wanafunzi wa ngazi hiyo ya elimu.

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde, aliyasema hayo mwishoni mwa wiki alipozungumza na gazeti hili.

Alisema kufanyika kwa mitihani hiyo kunakwenda sambamba na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

11 years ago

Habarileo

Darasa la Pili hoi kitaaluma

TATHMINI ya msingi ya Taifa kupima uwezo wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa Darasa la Pili, imebaini kuwa asilimia 98 ya wanafunzi wa darasa hilo nchini, hawaelewi wanachokisoma. Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, tathmini hiyo ilifanywa kwa baraka za wizara yake kwa kushirikiana na Shirika la Misaada la Marekani (USAID), ili kupata taarifa kuhusu hali halisi ilivyo kwa wanafunzi wa Tanzania, kumudu stadi za KKK wanapofika Darasa la...

 

10 years ago

Vijimambo

Msimu wa pili wa Darasa la Kiswahili waanza rasmi DMV

Sehemu ya wanafunzi, wazazi, mwalimu na viongozi wa jumuiya waliohudhuria siku ya kwanza ya darasa la Kiswahili DMV
Awamu ya pili ya Darasa la Kiswahili kwa watoto waishio Washington DC na vitongoji vyake umeanza Jumamosi ya Januari 24, 2015. Rais wa Jumuiya Bw Iddi Sandaly alipata fursa ya kuzungumza nasi kwa ufupi kuhusu darasa hilo.
Karibu umsikilize
Sehemu ya wanafunzi wakimsikiliza Mwalimu Asha Nyang'anyi. Kushoto kwake ni Katibu wa Jumuiya ya waTanzania hapa DMV Said MwamendeBaadhi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Michezo ya mchujo kombe la dunia

Michezo ya raundi ya pili ya kuwania tiketi ya kucheza kombe la dunia la mwaka 2018, litakalofanyika nchini Urusi kuendelea leo.

 

10 years ago

Habarileo

Mchujo wagombea Chadema waanza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaanza kufanya mchujo kwa watu 284 waliojitokeza kuwania kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye chama hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchujo FEASSSA kuanza Agosti 10

MCHUJO wa kufuzu ushiriki wa michuano ya Shule za Sekondari za Afrika Mashariki (FEASSSA) unatarajiwa kuanza Agosti 10 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Makongo, jijini Dar es Salaam. Kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Man U yaichapa Brugge mchujo wa Uefa

Manchester United yaitandika Brugge ya Ubelgiji 3-1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani