Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Search Habari za Tanzania .

Unaweza Pia kushare kwenye Facebook matokeo ya utafutaji,Tumia tab ya Share.



Matokeo ya Utafutaji

9 years ago

Bongo5

Picha: Lady Jaydee kufanya collabo na Nameless?

1172219_160953367603974_1540394864_n

Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.

1172219_160953367603974_1540394864_n
Lady Jaydee na Seven Mosha

Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.

1170250_1014889388553205_1383993073_n
Nameless na Jaydee

Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.

917473_813546168755731_308558682_n

Jide pia ameshare picha...

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wakutana kumsikiliza Lady Jaydee, London

Kwa Kiingereza ni chemchemi iliyoko jangwani. Penye ahueni na raha kidogo katikati ya tabu na mashaka. Na ndilo jina la ukumbi aliotumbuiza mwanamuziki Lady JayDee jijini London Jumamosi iliyopita. Ujio wake ulitangazwa na kampuni mpya yenye jina la Kiswahili na Kiingereza: “Upendo Events.” Mwasisi wake ni Frank Leo, aliyekuja kusoma Uingereza akaamua kupafanyia maskani.

 

9 years ago

Bongo5

Lady Jaydee aongeza nguvu kwenye management yake

12145332_1069487496425151_1766464638_n

Mwimbaji mkongwe, Judith Wambura aka Lady Jaydee ameongeza nguvu kwenye safu ya uongozi wake ili kujiweka vizuri zaidi katika muziki wake.

12145332_1069487496425151_1766464638_n

Akizungumza na Bongo5 leo, mmoja kati ya wanaounda uongozi huo, rapper Wakazi amesema amemwongeza Seven katika timu yake.

“Kwa upande wa uongozi wa Lady Jaydee siko peke yangu, nipo mimi na Seven naye anahusika kwenye uongozi. Lakini Lady Jaydee amepumzika na bado anaingia studio. Pia bado ngoma yake aliyofanya na Uhuru pamoja Mazet, ‘Give Me Love’...

 

9 years ago

Michuzi

Lady JayDee Ndani ya London

Na Freddy Macha, London Mwanamuziki na mwimbaji mashuhuri wa Tanzania, Lady JayDee, anatazamiwa kutua jijini London kesho kutwa Alhamisi tayari kwa onesho kabambe Jumamosi. Akizungumza nami Jumatatu usiku, promota wa shoo hilo, Frank Leo, alisema anawaomba Watanzania na marafiki zao wajiunge kumshangilia Mtanzania mwenzetu tarehe 5 Desemba. Kiingilio cha paundi 20 ( wastani wa shilingi 45,000) kitatozwa katika holi maridadi la Oasis Banqueting Suite mtaa wa Barking, Mashariki ya London. Bango la shoo ya 5 Desemba 2015

 

9 years ago

Bongo5

Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70

Katika dunia ya sasa mtu akifikisha umri wa miaka 70, anakuwa mtu mwenye bahati sana. Mama yake na Lady Jaydee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa weekend iliyomalizika na mwanae amesherehekea naye. Keki aliyoandaliwa mama yake na Lady Jaydee. Sherehe ya kumpongeza ilifanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam Kwenye ujumbe alioandika kumpongeza mama yake, Jide […]

 

9 years ago

Bongo5

Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’

Kwa mwanamuziki kufanya kazi kwa mara ya kwanza na muimbaji aliyekuwa akimchukulia kama mtu wake wa mfano, wasiwasi si jambo la kushangaza. Hali hiyo ndio ilimkuta Nakaaya wakati akirekodi wimbo na Lady Jaydee, Sista Sista mwaka 2009. “Niliandika wimbo huu mwaka 2009 pamoja na msanii niliyekuwa namwangalia, ambaye baadaye alikuja kuwa rafiki mkubwa, Lady Jaydee. […]

 

10 years ago

Dewji Blog

GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge

1 (1)

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.

3

Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Jumatatu. Tuzo hizo zitatolewa October 10 wakati wa Black Academy of Arts and Letters, Dallas nchini Marekani. Diamond ndiye aliyeongoza kwa kutajwa kwenye vipengele vingi zaidi ambavyo ni takriban saba. Hii ndio orodha kamili: 1. Best Male West Africa Davido (Nigeria) […]

 

10 years ago

Mtanzania

Mwasiti: Lady Jaydee ananivutia

MwasitiNA RHOBI CHACHA

MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.

Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’.
“Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani