Matokeo ya Utafutaji
9 years ago
Bongo506 Jan
Picha: Lady Jaydee kufanya collabo na Nameless?
![1172219_160953367603974_1540394864_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/1172219_160953367603974_1540394864_n-300x194.jpg)
Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.
Lady Jaydee na Seven Mosha
Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.
Nameless na Jaydee
Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.
Jide pia ameshare picha...
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Watanzania wakutana kumsikiliza Lady Jaydee, London
9 years ago
Bongo504 Dec
Lady Jaydee aongeza nguvu kwenye management yake
![12145332_1069487496425151_1766464638_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12145332_1069487496425151_1766464638_n-300x194.jpg)
Mwimbaji mkongwe, Judith Wambura aka Lady Jaydee ameongeza nguvu kwenye safu ya uongozi wake ili kujiweka vizuri zaidi katika muziki wake.
Akizungumza na Bongo5 leo, mmoja kati ya wanaounda uongozi huo, rapper Wakazi amesema amemwongeza Seven katika timu yake.
“Kwa upande wa uongozi wa Lady Jaydee siko peke yangu, nipo mimi na Seven naye anahusika kwenye uongozi. Lakini Lady Jaydee amepumzika na bado anaingia studio. Pia bado ngoma yake aliyofanya na Uhuru pamoja Mazet, ‘Give Me Love’...
9 years ago
Michuzi01 Dec
Lady JayDee Ndani ya London
![Bango la shoo ya 5 Desemba 2015](https://kitoto.files.wordpress.com/2015/12/bango-la-shoo-ya-5-desemba-2015.jpg)
9 years ago
Bongo505 Oct
Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70
9 years ago
Bongo528 Sep
Nakaaya akumbushia pressure aliyokuwa nayo wakati wa kujiandaa kurekodi wimbo na Lady Jaydee ‘Sista Sista’
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.
Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...
10 years ago
Bongo520 Jul
Diamond, Alikiba, Vanessa, Jaydee, Ommy Dimpoz, Mpoto watajwa kuwania tuzo za AFRIMMA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nJyzVxp3OEs/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 May
Mwasiti: Lady Jaydee ananivutia
NA RHOBI CHACHA
MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.
Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’.
“Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10