Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Putin:Uturuki itajuta kuidungua ndege yetu

Vladimir Putin ameitahadharisha Uturuki kuwa itajuta kwa kuidungua ndege ya Urusi aina ya Su-24 katika anga ya Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yamuonya Putin ''kutocheza na moto''

Rais Recep Tayyip Erdogan amemuonya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin 'kutocheza na moto' kuhusu swala la taifa lake kuidungua ndege ya Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin atumia lugha chafu kushutumu Uturuki

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametumia lugha chafu akishambulia tena Uturuki kwa kuidungua ndege ya kivita ya Urusi mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:IS haikuangusha ndege yetu

Marekani inasema kuwa ushahidi uliopo unaonyesha kuwa si kweli kwamba wapiganaji wa IS waliangusha ndege ya muungano huo

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki kuzuia ndege kutumia anga lake

Waziri wa masuala ya kigeni wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema hawategemei kuongoza mashambulizi ya ardhini dhidi ya IS

 

10 years ago

BBCSwahili

Shirika la ndege la Uturuki lafunga virago Libya

Shirika la la ndege la Uturuki ambalo ndilo liliokuwa peke yake likiendesha shughuli zake nchini Libya, limesimamisha safari zake zote kuingia nchini humo kutokana na hali mbaya ya usalama.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yadungua ndege mpaka wake na Syria

Ndege za kijeshi za Uturuki zinaripotiwa kudungua ndege ya kijeshi isiyojulikana karibu na mpaka wake na Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani