Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki yamuonya Putin ''kutocheza na moto''

Rais Recep Tayyip Erdogan amemuonya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin 'kutocheza na moto' kuhusu swala la taifa lake kuidungua ndege ya Urusi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

NATO yamwonya Karzai 'kutocheza na moto'

Shirika la kujihami la NATO limekasirishwa na hatua ya Karszai kukataa kutia saini mkataba ushirikiano wa kijeshi na Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin:Uturuki itajuta kuidungua ndege yetu

Vladimir Putin ameitahadharisha Uturuki kuwa itajuta kwa kuidungua ndege ya Urusi aina ya Su-24 katika anga ya Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin atumia lugha chafu kushutumu Uturuki

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametumia lugha chafu akishambulia tena Uturuki kwa kuidungua ndege ya kivita ya Urusi mwezi uliopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

10 years ago

BBCSwahili

FA:Cisse na Evans kutocheza mechi 7

Shirikisho la Soka nchini Uingereza FA limewapiga marufuku ya mechi 7 wachezaji Jonny Evans wa Manchester United na Papiss Cisse

 

9 years ago

BBCSwahili

Martial na Rooney kutocheza wikendi

Van Gaal amesema kuwa Anthony Martial na Wayne Rooney ni miongoni mwa wachezaji 5 ambao hawatashirii katika mechi ya timu hiyo dhidi ya Watford siku ya jumamosi.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yamuonya Museveni

Rais Obama amesema uhusiano kati ya Uganda na Marekani utatatizika ikiwa rais Museveni atasaini sheria inayopinga ushoga Uganda.

 

9 years ago

Habarileo

Kamati yamuonya Duni

KAMATI ya Maadili ya Kitaifa imetoa onyo kali kwa mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji, kwa kutoa taarifa zisizo sahihi kwa umma, akidai kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza vituo hewa vya kupigia kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani