Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Martial na Rooney kutocheza wikendi

Van Gaal amesema kuwa Anthony Martial na Wayne Rooney ni miongoni mwa wachezaji 5 ambao hawatashirii katika mechi ya timu hiyo dhidi ya Watford siku ya jumamosi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Wayne Rooney ammwagia sifa beki Chris Smalling na Anthony Martial

Nahodha wa timu ya taifa ya England na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney amesema beki Chris Smalling kwa sasa ni miongoni mwa walinzi watatu bora wa kati duniani. Alisema hayo wakati akizungumza na mtandao wa klabu wa Manchester United alipoulizwa kuhusu uwezo wa Chris Smalling msimu huu. Rooney alisema anakubali kupanda kwa kiwango cha […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)

Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]

The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

FA:Cisse na Evans kutocheza mechi 7

Shirikisho la Soka nchini Uingereza FA limewapiga marufuku ya mechi 7 wachezaji Jonny Evans wa Manchester United na Papiss Cisse

 

11 years ago

BBCSwahili

NATO yamwonya Karzai 'kutocheza na moto'

Shirika la kujihami la NATO limekasirishwa na hatua ya Karszai kukataa kutia saini mkataba ushirikiano wa kijeshi na Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Warundi 10,000 wakimbia nchi wikendi

UNHCR inasema raia wengi walihofia usalama wao wakati wa uchaguzi wa ubunge uliofanyika hapo Jumatatu

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto wanaozaliwa wikendi hufariki zaidi UK

Watoto waliozaliwa wikendi iliopita nchini Uingereza wana hatari kubwa ya kufariki ikilinganishwa na wale waliozaliwa siku za juma,kulingana na watafiti.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yamuonya Putin ''kutocheza na moto''

Rais Recep Tayyip Erdogan amemuonya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin 'kutocheza na moto' kuhusu swala la taifa lake kuidungua ndege ya Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kushuka ugani dhidi ya Liverpool wikendi

Chelsea wana kibarua tena wikendi hii watakapowakaribisha nyumbani Liverpool kwenye Ligi ya Premia Jumamosi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Castle Lager Perfect Six ngazi ya mikoa kuanza wikendi

MASHINDANO ya Soka ya Castle Lager Perfect 6 ngazi ya mikoa, yanatarajiwa kuanza rasmi wikendi hii katika mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro. Mashindano hayo yatamalizika kwa kupata washindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani