Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wayne Rooney ammwagia sifa beki Chris Smalling na Anthony Martial

Nahodha wa timu ya taifa ya England na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney amesema beki Chris Smalling kwa sasa ni miongoni mwa walinzi watatu bora wa kati duniani. Alisema hayo wakati akizungumza na mtandao wa klabu wa Manchester United alipoulizwa kuhusu uwezo wa Chris Smalling msimu huu. Rooney alisema anakubali kupanda kwa kiwango cha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)

Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]

The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hodgson ammwagia sifa kemkem Rooney

Roy Hodgson amesifu ukuaji wa Rooney kisoka wakati kabla ya kushuka dimbani kuchuana na Slovenia

 

9 years ago

BBCSwahili

Martial na Rooney kutocheza wikendi

Van Gaal amesema kuwa Anthony Martial na Wayne Rooney ni miongoni mwa wachezaji 5 ambao hawatashirii katika mechi ya timu hiyo dhidi ya Watford siku ya jumamosi.

 

9 years ago

Bongo5

Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.

Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”

Source:...

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial arudisha heshima hii Man United

Klabu ya Manchester United ya Uingereza ilikaa miaka miwili bila kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi kwa sasa imechukuliwa na Anthony Martial mshambuliaji ambaye ana umri mdogo aliyeweka rekodi ya kuuzwa kwa gharama ya juu katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August. Anthony Martial anakuwa mshambuliaji wa […]

 

5 years ago

Sports Mole

Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season

Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season  Sports MoleEvra reveals how he convinced Solskjaer to give Williams a chance at Man Utd  Goal.comOle Gunnar Solskjaer awkwardly rejected after offering handshake to Club Brugge manager  GIVEMESPORTOle Gunnar Solskjaer's tactical blunders will cost Man United dear  The Peoples PersonPhoto - Inter Striker Lukaku Becomes First Player In 15 Years To Score In 6 Straight Europa League Games  SempreInterView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

 

5 years ago

Manchester Evening News

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United  Manchester Evening NewsPredicting Man Utd's Starting XI for Thursday's Clash With Club Brugge  90minOle Gunnar Solskjaer announces huge Marcus Rashford injury blow for Man United in top four race  Football.LondonFred backs Solskjaer but admits Man Utd are 'not doing as well' as they should be  Goal.comChelsea Learn Extent of N'Golo Kante Injury Sustained During Man Utd Defeat  90minView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained

Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained  Mirror OnlineFrance icon Henry feels Martial's development and consistency hindered by Man Utd's lack of characters  Goal.comThierry Henry makes secret admission about Arsenal dressing room and Man Utd's Anthony Martial  Football.LondonThe concern Arsenal FC great Thierry Henry has about Manchester United forward Anthony Martial  Manchester Evening NewsMan Utd star Anthony Martial dressing room problem revealed by...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani