Misa ya wahanga wa ajali ya ndege ya Urusi
Ibada ya wafu ya kuwakumbuka watu 224 waliofariki katika ajali ya ndege ya Urusi katika rasi ya Sinai nchini ya Misri juma lililopita, inaendelea katika mji wa St Petersburg Urusi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Miili ya ajali ya ndege yapelekwa Urusi
Miili ya watu zaidi mia moja na sitini waliokufa katika ajali ya ndege nchini Misri ipo njia kuelekea katika mji wa St. Petersburg nchini Urusi.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Urusi:'Nguvu kutoka nje'ilisababisha ajali ya ndege
''Nguvu kutoka nje'' ndio iliyosababisha ajali ya ndege iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 wengi wao raia wa Urusi.
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa
Urusi imethibitisha kuwa ndege ya Metrojet iliyoanguka na kuua watu 224 nchini Misri mwezi uliopita likuwashambulizi la kigaidi.
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege
Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi
Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi
Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria
Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania