Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misa ya wahanga wa ajali ya ndege ya Urusi

Ibada ya wafu ya kuwakumbuka watu 224 waliofariki katika ajali ya ndege ya Urusi katika rasi ya Sinai nchini ya Misri juma lililopita, inaendelea katika mji wa St Petersburg Urusi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya ajali ya ndege yapelekwa Urusi

Miili ya watu zaidi mia moja na sitini waliokufa katika ajali ya ndege nchini Misri ipo njia kuelekea katika mji wa St. Petersburg nchini Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi:'Nguvu kutoka nje'ilisababisha ajali ya ndege

''Nguvu kutoka nje'' ndio iliyosababisha ajali ya ndege iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 wengi wao raia wa Urusi.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Ndege iliyoanguka Misri ililipuliwa

Urusi imethibitisha kuwa ndege ya Metrojet iliyoanguka na kuua watu 224 nchini Misri mwezi uliopita likuwashambulizi la kigaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi

Mamlaka ya safari za ndege nchini Urusi imepiga marufuku ndege za shirika la taifa la ndege la Misri kuhudumu Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani