Miili ya ajali ya ndege yapelekwa Urusi
Miili ya watu zaidi mia moja na sitini waliokufa katika ajali ya ndege nchini Misri ipo njia kuelekea katika mji wa St. Petersburg nchini Urusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Ajali ya Ndege:Miili kupelekwa Uholanzi
10 years ago
StarTV30 Mar
Hali ya hewa kikwazo utafutaji miili ajali ya ndege Ufaransa.
Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na kuua watu wote wapatao mia moja na hamsini waliokuwemo.
Waathirika wa ajali hiyo wanatoka nchi mbali mbali ambapo arobaini na tano ni wahispania huku zaidi ya sitini wakiwa ni wajerumani.
Kumi na sita, kati yao...
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Misa ya wahanga wa ajali ya ndege ya Urusi
10 years ago
BBCSwahili02 Nov
Urusi:'Nguvu kutoka nje'ilisababisha ajali ya ndege
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Ndege ya Ethiopia iliyokwama yapelekwa KIA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
GPL
MIILI YA NDEGE YA MALAYSIA YASAFIRISHWA
10 years ago
StarTV30 Dec
Ajali ya AirAsia, Miili 40 yaopolewa baharini.
Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini katika utafutaji wa mabaki ya ndege hiyo na utafutaji unaendelea.
Miili hiyo ilionekana ikielelea karibu na taka za bahari pwani ya Indonesia,eneo la Borneo moja ya eneo la utafutaji mabaki ya ndege hiyo.Na taarifa kutoka serikali ya Indonesia zimethibitisha kwamba miili hiyo inatoka katika ndege iliyopotea.
Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200,ilikuwa imebeba abiria mia moja...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia kuanguka Ukraine