Ajali ya Ndege:Miili kupelekwa Uholanzi
Miili iliyopatikana nchini Ukraine itasafirishwa kuelekea Uholanzi kwa ajili ya kuitambua
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Miili ya ajali ya ndege yapelekwa Urusi
10 years ago
StarTV30 Mar
Hali ya hewa kikwazo utafutaji miili ajali ya ndege Ufaransa.
Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na kuua watu wote wapatao mia moja na hamsini waliokuwemo.
Waathirika wa ajali hiyo wanatoka nchi mbali mbali ambapo arobaini na tano ni wahispania huku zaidi ya sitini wakiwa ni wajerumani.
Kumi na sita, kati yao...
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Waathiriwa wa ndege kupelekwa Ufaransa
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4J3V8U2tthMImFbr1mtds3G0KPEEGyOdXKRqscgwM7211NoquHIVwTXMRa8duUGczs9xfJVzl0iAL*XanmEI5z/1.jpg?width=650)
MIILI YA NDEGE YA MALAYSIA YASAFIRISHWA
10 years ago
StarTV30 Dec
Ajali ya AirAsia, Miili 40 yaopolewa baharini.
Kufuatia kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At ,miili arobaini imeopolewa kutoka baharini katika utafutaji wa mabaki ya ndege hiyo na utafutaji unaendelea.
Miili hiyo ilionekana ikielelea karibu na taka za bahari pwani ya Indonesia,eneo la Borneo moja ya eneo la utafutaji mabaki ya ndege hiyo.Na taarifa kutoka serikali ya Indonesia zimethibitisha kwamba miili hiyo inatoka katika ndege iliyopotea.
Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200,ilikuwa imebeba abiria mia moja...
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Miili zaidi ya 100 yaokotwa baada ya ndege ya Malaysia kuanguka Ukraine
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Miili 23 ya ajali ya basi la Another G na lori Mufindi Iringa yatambuliwa
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Bi Mboni Mhita (kushoto) akimfariji mmoja kati ya majeruhi wa ajali ya basi la Another G na lori iliyoua 23 na kujeruhi 34 jana, wengine pichani ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDPix7u_8K0/VlmwyVeBySI/AAAAAAAII1E/x4GqpY_REn8/s72-c/75c70b20-aa79-4a7b-9f65-1c7eb991b9dc.jpg)
dada yetu Joyce aliyepata ajali Mbeya ahamishiwa hospitali, kupelekwa Dar es salaam Alhamisi kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema na wadau,Napenda kutumia fursa hii kukufahamisheni kuwa hatimaye dada yetu Joyce Mwambepo ametoka nyumbani yupo hospitali ya rufaa Mbeya chini ya uangalizi wa Dr. Mboma akifanyiwa mazoezi ya viungo kabla ya kuelekea hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa vipimo na matibabu. Baada ya michango mbalimbali ambayo wasamaria wema wamekuwa wakichangia toka ndani na nje ya nchi, hatimaye Dada Joyce na mimi tutasafiri pamoja Alhamisi ijayo...