IS:Yadungua ndege ya jeshi la muungano
Wapiganaji wa Islamic State nchini Syria wamedai kuidungua ndege ya kivita ya muungano wa jeshi unaoongozwa na Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Uturuki yadungua ndege mpaka wake na Syria
Ndege za kijeshi za Uturuki zinaripotiwa kudungua ndege ya kijeshi isiyojulikana karibu na mpaka wake na Syria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuEzvavmqzMTrvfLUPH9nbSc8Twz3W4JB4dqFRl7LD*YH1M3zjYhzYaTxPLCM9*bnvXgjREckKkPwF4RXqmzB9q/usarmyaircraftmo328.jpg?width=650)
NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA
Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...
9 years ago
Habarileo13 Dec
Jeshi Stars wajitoa netiboli Muungano
TIMU ya Jeshi Stars imejitoa kushiriki mashindano ya netiboli ya Muungano inayotarajia kuanza Jumanne kwenye Uwanja wa Gymkhana mjini hapa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/db4JtL*UowEvPbie2S2EOxumcHCqRYD31ZGOdXWEDeAUXLD6fhBb2BmZCCW64Cg9KIKE*cg8VNRybQFuJZuxHI35bYuqCHCA/mwanza1.jpg)
NDEGE YA JESHI YAANGUKA MWANZA, RUBANI ANUSURIKA
Muonekano wa ndege ya ndege ya jeshi baada ya kuanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza.(Picha na Mtandao)
NDEGE ya kijeshi imeanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza na kusambaratika wakati inatoka kaskazini mwa uwanja huo kuelekea kusini ambapo rubani wake, Peter Augustino Lyamunda, amevunjika mguu. Chanzo cha ajali hiyo ni ndege (mnyama) aliyeingia kwenye moja ya injini za ndege… ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ccvv.jpg)
NDEGE YA JESHI LA MAREKANI YAANGUKA AFGHANISTAN NA KUUA 12
Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules iliyoanguka. Ramani inayoonesha eneo ambapo ndege hiyo ilipata ajali. Ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya C-130 Hercules imeanguka usiku wa leo katika Uwanja wa Ndege wa Jalalabad nchini Afghanistan na kuua watu 12. Kanali wa jeshi la Marekani Brian Tribus ameiambia AFP kwamba watao kati ya waliokufa walikuwa wanajeshi wa Marekani, watano walikuwa raia wa… ...
5 years ago
BBCSwahili18 May
Atlas V rocket: Jeshi la Marekani lapeleka ndege ya siri katika anga za juu
Ndege hiyo ilipaa kuelekea anga za juu kutoka eneo la Cape Canaveral siku ya Jumapili.
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania