Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi Stars wajitoa netiboli Muungano

TIMU ya Jeshi Stars imejitoa kushiriki mashindano ya netiboli ya Muungano inayotarajia kuanza Jumanne kwenye Uwanja wa Gymkhana mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Ligi Kuu ya Muungano ya Netiboli yaendelea Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar

Wachezaji wa Timu ya TTPL na Polisi Moro wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano zinazofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar timu ya Polisi Moro imeshinda 36--33.Mchezaji wa timu ya TTPL Mwanaasha Ali ( GS) akiwa na mpira huku mchezaji wa timu ya Polisi Moro Jawa Iddi (GD) akijiandaa kumzuiya katika mchezo wao wa kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu ya Muungano ya Mchezo wa Netiboli yanayofanyika katika viwanja vya Gmykhana Zanzibar Timu ya Polisi Moro imeshinda...

 

10 years ago

BBCSwahili

IS:Yadungua ndege ya jeshi la muungano

Wapiganaji wa Islamic State nchini Syria wamedai kuidungua ndege ya kivita ya muungano wa jeshi unaoongozwa na Marekani.

 

11 years ago

Michuzi

Wimbo maalumu wa muungano by Tanzania all stars

Wimbo: TUULINDE

Watunzi: LAMECK DITTO, AMINI MWINYIMKUU

Watayarishaji: EMA THE BOY, TUDDY THOMAS

Studio: SURROUND SOUND

Wasifu wa Wimbo:

Wimbo huu maalumu wa Muungano umeimbwa na wasanii 50, kutoka katika mahadhi tofauti tofauti ya muziki kama Bongo Flava, Taarab, Dansi, Hiphop na muziki wa injili.

Hii ni mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, wasanii 50 tofauti kuimba wimbo kwa pamoja, na kwa ushirikiano mkubwa, wasanii hawa wanatukumbusha umuhimu wa Muungano ambao ndio...

 

10 years ago

TheCitizen

Uhamiaji silence favourites Jeshi Stars

>Uhamiaji humbled Jeshi Stars 35-30 in the ongoing Union Netball Championship taking place at Jamhuri Stadium in Morogoro.

 

10 years ago

TheCitizen

Savio, Jeshi Stars put titles on the line

It is all systems go as the National Basketball League (NBL) bursts into life today at the National Indoor Stadium.

 

11 years ago

Mwananchi

Jeshi Stars, Mbweni, TTPL zatoa vipigo

Michuano ya Ligi Daraja la Kwanza ya netiboli imeanza kushika kasi mjini hapa kwa timu za TTPL, Uhamiaji, Jeshi Stars, JKT Mbweni kuanza vyema kwa kushinda mechi zake walizocheza juzi katika Uwanja wa Jamhuri.

 

9 years ago

TheCitizen

Flying start for JKT Mbweni, Jeshi Stars

Defending champions JKT Mbweni sent a warning signal to rivals on Sunday after crushing Polisi Shinyanga 60-13 in a one-sided National Netball Championship match at Kambarage Stadium.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Jeshi jipya la Stars kujifua kwa saa tatu

BAADHI ya sura mpya zilizoitwa mwanzoni mwa wiki hii kwa ajili ya kuongezea nguvu kikosi cha timu ya taifa ya soka Tanzania, ‘Taifa Stars’ kimekamilika na wachezaji hao jana waliungana na wenzao katika mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.

Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria, Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa jijini hapa imeingiza sura mpya baada ya wachezaji wa klabu za Yanga na Azam FC, kushindwa kuwasili kambini kutokana na kutumikia klabu zao. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani