Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi Stars, Mbweni, TTPL zatoa vipigo

Michuano ya Ligi Daraja la Kwanza ya netiboli imeanza kushika kasi mjini hapa kwa timu za TTPL, Uhamiaji, Jeshi Stars, JKT Mbweni kuanza vyema kwa kushinda mechi zake walizocheza juzi katika Uwanja wa Jamhuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Flying start for JKT Mbweni, Jeshi Stars

Defending champions JKT Mbweni sent a warning signal to rivals on Sunday after crushing Polisi Shinyanga 60-13 in a one-sided National Netball Championship match at Kambarage Stadium.

 

9 years ago

Habarileo

Jeshi Stars wajitoa netiboli Muungano

TIMU ya Jeshi Stars imejitoa kushiriki mashindano ya netiboli ya Muungano inayotarajia kuanza Jumanne kwenye Uwanja wa Gymkhana mjini hapa.

 

10 years ago

TheCitizen

Uhamiaji silence favourites Jeshi Stars

>Uhamiaji humbled Jeshi Stars 35-30 in the ongoing Union Netball Championship taking place at Jamhuri Stadium in Morogoro.

 

10 years ago

TheCitizen

Savio, Jeshi Stars put titles on the line

It is all systems go as the National Basketball League (NBL) bursts into life today at the National Indoor Stadium.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Jeshi jipya la Stars kujifua kwa saa tatu

BAADHI ya sura mpya zilizoitwa mwanzoni mwa wiki hii kwa ajili ya kuongezea nguvu kikosi cha timu ya taifa ya soka Tanzania, ‘Taifa Stars’ kimekamilika na wachezaji hao jana waliungana na wenzao katika mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.

Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria, Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa jijini hapa imeingiza sura mpya baada ya wachezaji wa klabu za Yanga na Azam FC, kushindwa kuwasili kambini kutokana na kutumikia klabu zao. Akizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni za teknolojia zatoa mipango yao

Maonyesho makubwa ya teknologia mjini Las Vegas yamezifanya kampuni kubwa za teknologia kuzindua mipango yao ya mwaka 2015

 

11 years ago

Mwananchi

Paris St-Germain, Real Madrid zatoa dozi

Paris St-Germain na Real Madrid zimejiweka katika nafasi nzuri ya kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya jana kuibuka na ushindi katika mechi zao za kwanza za robo fainali.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL

Pg 32*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu

NA WAANDISHI WETU

TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.

Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Vinara La Liga waambulia vipigo

Timu vinara wa ligi kuu ya Hispania za Barcelona na Real Madrid zimeambulia vipigo katika mechi zao za mwishoni mwa wiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani