Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paris St-Germain, Real Madrid zatoa dozi

Paris St-Germain na Real Madrid zimejiweka katika nafasi nzuri ya kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya jana kuibuka na ushindi katika mechi zao za kwanza za robo fainali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL

Pg 32*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu

NA WAANDISHI WETU

TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.

Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...

 

11 years ago

BBC

Chelsea v Paris St-Germain

Samuel Eto'o could be available for Chelsea when they face Paris-St Germain in Tuesday's Champions League quarter-final second leg.

 

11 years ago

BBC

Reims 2-2 Paris St-Germain

Congolese midfielder Oniangue scores for Reims as Ibrahimovic hits two for Paris St-Germain in a 2-2 draw in French opener.

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID


De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
De Gea (left) was a team-mate of Tomas Ujfalusi (back...

 

9 years ago

MillardAyo

Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi ….

Najua bado headlines za Jose Mourinho kuwa ataenda wapi au kuifundisha klabu gani bado zinazidi kushika kasi, je ataenda kuifundisha klabu ya Manchester United au Real Madrid kama inavyoripotiwa au klabu gani. Ukiachana na stori za kujiunga na Man United, mwezi October Rais wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon alimkaribisha kwa mara ya pili Mourinho kujiunga […]

The post Headlines za Jose Mourinho kurudi Real Madrid zilipomfikia Rais wa Madrid Fiorentino Perez alijibu hivi …. appeared...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani