Wakenya 20 waagizwa kuondoka Somalia
Mahakama nchini Somalia imewaagiza Wakenya 22 waliopatikana na hatia ya kuwa huko kinyume cha sheria kuondoka nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
9 years ago
Habarileo12 Dec
Madiwani waagizwa kusimamia maliasili
BARAZA jipya la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, limetakiwa kushiriki kikamilifu kuzuia uvamizi wa Hifadhi ya Wanyamapori ya Wami Mbiki na Msitu wa Kuni kwa kuwahimiza wananchi kufuga kisasa zaidi.
11 years ago
Habarileo04 May
Makandarasi waagizwa kufuata utaratibu
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka makandarasi wanaofanya kazi katika wilaya ya Mvomero kufuata utaratibu uliowekwa na Baraza la Madiwani la kuwataka wapitie Serikali za vijiji kabla ya kuanza kazi .
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wavuvi waagizwa kutowasaidia wahamiaji
9 years ago
Habarileo31 Dec
Wakimbizi waagizwa kusalimisha silaha
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kusalimisha silaha wanazozimiliki isivyo halali sambamba na kuwafichua wakimbizi wenzao watakaoingia kambini na silaha na kujihusisha na vitendo vya ujambazi.
9 years ago
Habarileo16 Dec
Ma-RC, DC waagizwa kuzoa taka zilizolundikwa
WAKUU wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri nchini wametakiwa kuhakikisha takataka zote zilizolundikwa wakati wa kazi ya usafi iliyofanyika Desemba 9, nchini kote zinaondolewa.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Waagizwa kufunga viakisi mwanga
JESHI la Polisi nchini limetoa muda wa miezi miwili kwa wamiliki wa vyombo vya moto vyenye ukubwa kuanzia tani tatu na nusu kuhakikisha wanabandika viakisi mwanga.
11 years ago
Habarileo17 Mar
Polisi waagizwa kuacha rushwa
POLISI wametakiwa kubadili tabia kwa kujiepusha na vitendo vya kudai na kupokea rushwa kutoka kwa watu wenye matatizo, yanayohitaji huduma za kipolisi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Kitengo Ufuatiliaji na Tathimini cha Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP) Mpinga Gyumi.
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini