Watatu wauawa na mlipuko nchini Nigeria
Maafisa wa polisi nchini Nigeria wanasema kuwa watu watatu wameuawa baada ya mtu wa kujitolea muhanga kujilipua mjini Jos.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mlipuko mwingine Nigeria - 14 wauawa
Polisi kaskazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa shambulizi la bomu limewauwa zaidi ya watu 14 na kuwajeruhi wengine wengi.
11 years ago
BBCSwahili19 May
5 wauawa katika mlipuko Nigeria
Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6Yi1*KCqJUSszRNDQeKn1cjkz6ZQPyU2Mv04SQOz9sI8G**ZhrOHbxdYVqvoWfqebURH3inX6hUlXjuiQEFA9kS5w7cRzJXV/BREAKINGNEWS.gif)
TISA WAUAWA KATIKA MLIPUKO NIGERIA
WATU zaidi ya tisa wamepoteza maisha wakati kadhaa wakijeruhiwa katika mlipuko mkubwa uliotokea karibu na kituo cha basi eneo la Nyanya nchini Nigeria!
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
11 years ago
BBCSwahili28 Jun
Mlipuko waua watu 10 nchini Nigeria
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea mjini Bauchi Kaskazini mwa nchi hiyo.
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
69 wauawa vijijini nchini Nigeria
Takriban watu 69 wameuawa katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Katsina , Kaskazini Magharibi mwa Nigeria
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
10 wauawa katika kijiji nchini Nigeria
Takriban watu kumi wameuawa katika shambulizi la kijiji kimoja kazkazini mashariki mwa Nigeria,
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania