Watanzania watatu wauawa kwa ujambazi Uganda
Polisi nchini Uganda wamewaua watu watatu wanaoaminiwa kuwa ni Watanzania akiwamo mwanamke mmoja na kuwashikilia wengine watatu kwa madai ya kuvamia kituo cha uvuvi  kilichopo katika kisiwa cha Migingo pwani ya Ziwa Victoria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Watatu wauawa kwa kudai ng’ombe
WAKAZI watatu wilayani hapa, wameuawa kwa kupigwa na silaha za jadi na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Karongo, Kata ya Rwabwere. Marehemu hao ni Justus Wamara (49), Syrilo Sebastian...
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watatu wauawa kwa bomu Mombasa
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Watatu wauawa kwa risasi, sita wajeruhiwa
10 years ago
Michuzi.jpg)
NEWS ALERT: WATUHUMIWA WATATU WA UJAMBAZI WAUWAWA MKOANI KIGOMA
.jpg)
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuuwa majambazi watatu baada ya kurushiana risasi na kukamata silaha mbalimbali za kivita.
Akizungumzia tukio hilo ofisini kwake Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Frednand Mtui alisema kuwa majira ya saa nane usiku katika eneo la mto kahabwe mpakani mwa Wilaya ya Kakonko na Kibondo, askari Polisi wakiwa doria walirushiana risasi na majambazi ambao idadi yao haijajuikana na...
10 years ago
MichuziASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Askari watatu wa AU wauawa Somalia
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Al shabab watatu wauawa Kenya
11 years ago
Habarileo15 Aug
Watatu wauawa wakidaiwa kupora pikipiki
VIJANA watatu ambao hawajafahamika majina yao wanaokadiriwa kuwa na kati ya miaka 25 na 30, wameuawa na wananchi na kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za kupora pikipiki.