Washikiliwa kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kobe 201
eshi la Polisi Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kobe hai 201 wenye thamani ya Sh30.4 milioni waliokuwa kwenye soksi kwenda Kaula Lumpa, Malaysia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...
10 years ago
Habarileo02 Aug
20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.
11 years ago
Habarileo16 Jul
Wanane washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Kagera
POLISI mkoani Kagera inashikilia watu wanane kwa tuhuma za mauaji yaliyofanyika Wilaya za Bukoba na Missenyi.
9 years ago
MichuziWATUHUMIWA 40 WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA UKWEPAJI KODI.
Kati ya hao, watuhumiwa 26 ni watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)na watumishi 03 kutoka Bandari kavu (ICD) YA AZAM wanatuhumiwa...
9 years ago
StarTV29 Dec
Watu 18 washikiliwa na Polisi Morogoro  kwa Tuhuma Za Makosa Tofauti
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu 18 kwa makosa tofauti ambapo watu wanane wanashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na silaha mbili aina ya Shot Gun zikiwa na Risasi 12 na wengine wanane wakijihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya pamoja na wahamiaji haramu wawili raia wa Ethiopia wakiwa katika harakati za kuelekea nchini ya Afrika Kusini.
Kukamatwa kwa watuhumiwa hao kunatokana na jeshi la polisi mkoani humo kuendesha oparesheni maalum kwa kushilikiana na raia wema dhidi ya...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Tisa washikiliwa kwa tuhuma za kushambulia msafara wa mgombea wa CCM
10 years ago
StarTV04 Feb
Watatu washikiliwa kwa tuhuma za kuvunja kituo cha Polisi.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wakazi watatu wa Mgeta wilayani Kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kujihusisha na uvunjaji wa kituo kidogo cha Polisi Mgeta na kuiba baadhi vya vielelezo vya jeshi hilo pamoja Bunduki aina ya SMG yenye risasi 30.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi wa Polisi Leonard Paul amewataja watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo kuwa ni pamoja na Ramadhan Shewele mwenye miaka 20, Khamis Ahmed miaka 45 na Ignas...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe
9 years ago
MichuziKOBE 201 WALIOKUWA WAKISAFIRSHWA NJE YA NCHI WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA J.K NYERERE
Watuhumiwa hao wa usafirishaji wa wanyamapori wametajwa kuwa ni David Mungi mkazi wa Muheza Mkoani Tanga na Mohammed Suleiman (43) mkazi wa Zanzibar ambao katika tukio hilo walishafanikiwa kupita kwenye mitambo ya ukaguzi...