KOBE 201 WALIOKUWA WAKISAFIRSHWA NJE YA NCHI WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA J.K NYERERE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_c-tGKPP2xI/Vks-0wS0eXI/AAAAAAAAHNk/n0mw2VttzVQ/s72-c/IMG_1296.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akikagua mabegi matano yenye Kobe 201 yaliyokamatwa usiku wa kuamkia leo na askari wanyamapori kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika uwanja wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa hao wa usafirishaji wa wanyamapori wametajwa kuwa ni David Mungi mkazi wa Muheza Mkoani Tanga na Mohammed Suleiman (43) mkazi wa Zanzibar ambao katika tukio hilo walishafanikiwa kupita kwenye mitambo ya ukaguzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Feb
Kobe 250 wakamatwa Uwanja wa Ndege Z’bar
KOBE wadogo 250, wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda Malaysia.
10 years ago
VijimamboMKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI NJE YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM JANA
Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usimu majira ya saa 2;30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...
10 years ago
MichuziWATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBEMBELEA KAMPUNI YA KUHUDUMIA MIZIGO, NDEGE NA ABIRIA YA SWISSPORT INAYOTOA HUDUMA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA)
11 years ago
Michuzi25 Feb
zungu la unga ladakwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere dar es salaam
![](https://3.bp.blogspot.com/-9DbLzcZqnzw/UwtyFbb9D9I/AAAAAAAAPjU/s_AL9XyaXVY/s640/Alexamdrios+Atanasios.jpg)
Habari zinasema mzungu huyo alikamatwa wakati wa upekuzi, akijiandaa kupanda ndege ya Swiss air kueleke jijini Zurich, Uswisi.
Madawa hayo yalikutwa yakiwa yamefichwa kwenye “sakafu” ya begi lake baada ya mitambo ya kisasasa yaupekuzi, kugundua kuwa kulikuwa na...
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZ:WATU NANE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA MWL.NYERERE WAKIINGIA NCHINI KWA PASPOTI BANDIA ZA MATAIFA TOFAUTI YA ULAYA
11 years ago
Michuzi09 Jul
mwandani wa mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius nyerere (New Terminal III Project)
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vtvPFzpymo0/VYvIGdxo4VI/AAAAAAABQnI/weTzVNninS0/s72-c/uwanja%2Bwa%2Bndege%2Bwa%2Bmwalimu%2Bnyerere.jpg)
RAIA WA KUWAIT AKAMATWA UWANJA WA NDEGE DAR NA KOBE 173
![](http://2.bp.blogspot.com/-vtvPFzpymo0/VYvIGdxo4VI/AAAAAAABQnI/weTzVNninS0/s640/uwanja%2Bwa%2Bndege%2Bwa%2Bmwalimu%2Bnyerere.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Mwakwembe azindua magari 54 ya Chama cha Madereva taxi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA)