Ukawa wawatia kiwewe Wassira, Mwigulu, Lukuvi
Steven Wasira Na Waandishi Wetu, Mwananchi Moshi/Dar. Mawaziri Stephen Wassira na Mwigulu Nchemba wamesema kuwa japo Bunge Maalumu la Katiba litaendelea na vikao vyake kuanzia kesho mjini Dodoma, halitakuwa na uhalali wa kisiasa. “Tunakwenda bungeni kuendelea na vikao kwa sababu hatuvunji sheria. Kumbukeni hata walipotoka (Ukawa) wakati ule tuliendelea na vikao kwa sababu akidi inaruhusu, japo hatutakuwa na uhalali wa kisiasa lakini kisheria tuna uhalali,” alisema Wasira ambaye ni...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Wapinzani wawalaani Lukuvi, Wassira
10 years ago
Habarileo01 Jun
Mwigulu na Wassira wakoleza mbio za Urais
MAKADA wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba na Stephen Wassira wametangaza rasmi nia yao ya kutaka kuwania kupitishwa na chama hicho, kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
UKAWA yatia kiwewe Serikali
SERIKALI imeonesha dalili za kukata tamaa ya kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kutokana na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutolegeza msimamo wa kurejea bungeni,...
11 years ago
Mwananchi16 May
Wassira awatisha Ukawa
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Lukuvi aishukia Ukawa
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Lukuvi: Lissu legeza ‘kamzizi’ Ukawa warudi bungeni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi
Gabriel Mushi na Aziza Masoud
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema anayekwamisha mjadala wa Katiba Mpya ni mmoja wa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Tundu Lissu.
Amesema kwamba, kama Lissu ataamua kubadili msimamo uwezekano wa Ukawa kushiriki Bunge Maalumu la Katiba ni mkubwa kwa vile ana uwezo mkubwa wa kushawishi, kujieleza na kujenga hoja.
Kutokana na...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Mwigulu ‘awabembeleza’ Ukawa kurudi bungeni
9 years ago
Michuzi03 Sep
MWIGULU NCHEMBA ALIPUA UKAWA KWA KUNUKUU MANENO YA BABA WA TAIFA
9 years ago
Vijimambo03 Sep
MWIGULU HAKAMATIKI KATIKA KUINADI ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI,AWALIPUA UKAWA