Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani wawalaani Lukuvi, Wassira

Vyama vya upinzani wilayani Bunda, vimewataka Watanzania kuungana kuwalaani Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira kwa wanachodai kauli zao zinalenga kugawa Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Ukawa wawatia kiwewe Wassira, Mwigulu, Lukuvi

Steven Wasira Na Waandishi Wetu, Mwananchi Moshi/Dar. Mawaziri Stephen Wassira na Mwigulu Nchemba wamesema kuwa japo Bunge Maalumu la Katiba litaendelea na vikao vyake kuanzia kesho mjini Dodoma, halitakuwa na uhalali wa kisiasa. “Tunakwenda bungeni kuendelea na vikao kwa sababu hatuvunji sheria. Kumbukeni hata walipotoka (Ukawa) wakati ule tuliendelea na vikao kwa sababu akidi inaruhusu, japo hatutakuwa na uhalali wa kisiasa lakini kisheria tuna uhalali,” alisema Wasira ambaye ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Wassira awatisha Ukawa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uratibu na Uhusiano), Stephen Wassira amewatisha wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwamba wasiporejea bungeni, kanuni zitabadilishwa na Bunge litaendelea.

 

11 years ago

Mwananchi

Bulaya amvaa Wassira

Siku moja baada ya Steven Wassira kutangaza nia ya kutetea ubunge wa Jimbo la Bunda mwakani, Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amesema anashangaa kuona mwanasiasa huyo mkongwe anaweweseka kwa kutojua ni nafasi ipi anaitaka.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira aonya makosa ya 2010

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wassira, amesema makosa ya mwaka 2010 yaliyofanyika katika chaguzi za serikali za mitaa, vitongoji na vijiji yakirudiwa tena, wapinzani watachukua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira ataeleweka kwa Warioba

MIMI ni miongoni mwa watu wanaounga mkono katiba inayopendekezwa kwakuwa imegusa masilahi ya makundi mbalimbali tofauti  na katiba ya 1977 tunayoitumia Najua kuisifia katiba inayopendekezwa si jambo rahisi kueleweka na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira: Watanzania punguzeni hofu

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira, amewataka wanasiasa kuwapongeza watendaji wa serikali wanaofanya kazi vizuri na kuondoa hofu dhidi yao. Wassira, alitoa kauli hiyo juzi...

 

9 years ago

Habarileo

Wassira, Chiza, Mwanri wadondoka

MATOKEO ya ubunge yameanza kutangazwa jana katika sehemu mbalimbali nchini huku kukiwapo na mabadiliko makubwa ya wabunge kati ya vyama vya CCM na Chadema. Katika matokeo yaliyolifikia gazeti hili na ambayo yamethibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi, CCM imewapoteza mawaziri watatu hadi jana.

 

10 years ago

Daily News

Magufuli, Wassira return forms


Magufuli, Wassira return forms
Daily News
THE Minister for Works, Dr John Magufuli and the Minister for Agriculture, Food security and Cooperatives, Mr Steven Wassira, on Monday returned their nomination forms, bringing the total number of hopeful presidential candidates who have cleared the task ...

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri Wassira, Kebwe wabwagwa

MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Awamu ya Nne, wamebwagwa katika kinyang’anyiro cha ubunge baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuchukua majimbo ya Bunda Mjini na Serengeti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani