Wapinzani wawalaani Lukuvi, Wassira
Vyama vya upinzani wilayani Bunda, vimewataka Watanzania kuungana kuwalaani Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira kwa wanachodai kauli zao zinalenga kugawa Watanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii04 Aug
Ukawa wawatia kiwewe Wassira, Mwigulu, Lukuvi
11 years ago
Mwananchi16 May
Wassira awatisha Ukawa
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bulaya amvaa Wassira
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Wassira aonya makosa ya 2010
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Steven Wassira, amesema makosa ya mwaka 2010 yaliyofanyika katika chaguzi za serikali za mitaa, vitongoji na vijiji yakirudiwa tena, wapinzani watachukua...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Wassira ataeleweka kwa Warioba
MIMI ni miongoni mwa watu wanaounga mkono katiba inayopendekezwa kwakuwa imegusa masilahi ya makundi mbalimbali tofauti na katiba ya 1977 tunayoitumia Najua kuisifia katiba inayopendekezwa si jambo rahisi kueleweka na...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Wassira: Watanzania punguzeni hofu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira, amewataka wanasiasa kuwapongeza watendaji wa serikali wanaofanya kazi vizuri na kuondoa hofu dhidi yao. Wassira, alitoa kauli hiyo juzi...
9 years ago
Habarileo27 Oct
Wassira, Chiza, Mwanri wadondoka
MATOKEO ya ubunge yameanza kutangazwa jana katika sehemu mbalimbali nchini huku kukiwapo na mabadiliko makubwa ya wabunge kati ya vyama vya CCM na Chadema. Katika matokeo yaliyolifikia gazeti hili na ambayo yamethibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi, CCM imewapoteza mawaziri watatu hadi jana.
10 years ago
Daily News23 Jun
Magufuli, Wassira return forms
Daily News
THE Minister for Works, Dr John Magufuli and the Minister for Agriculture, Food security and Cooperatives, Mr Steven Wassira, on Monday returned their nomination forms, bringing the total number of hopeful presidential candidates who have cleared the task ...
9 years ago
Habarileo27 Oct
Mawaziri Wassira, Kebwe wabwagwa
MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Awamu ya Nne, wamebwagwa katika kinyang’anyiro cha ubunge baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuchukua majimbo ya Bunda Mjini na Serengeti.