Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira awatisha Ukawa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uratibu na Uhusiano), Stephen Wassira amewatisha wabunge wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwamba wasiporejea bungeni, kanuni zitabadilishwa na Bunge litaendelea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Ukawa wawatia kiwewe Wassira, Mwigulu, Lukuvi

Steven Wasira Na Waandishi Wetu, Mwananchi Moshi/Dar. Mawaziri Stephen Wassira na Mwigulu Nchemba wamesema kuwa japo Bunge Maalumu la Katiba litaendelea na vikao vyake kuanzia kesho mjini Dodoma, halitakuwa na uhalali wa kisiasa. “Tunakwenda bungeni kuendelea na vikao kwa sababu hatuvunji sheria. Kumbukeni hata walipotoka (Ukawa) wakati ule tuliendelea na vikao kwa sababu akidi inaruhusu, japo hatutakuwa na uhalali wa kisiasa lakini kisheria tuna uhalali,” alisema Wasira ambaye ni...

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi afukuza waandishi, awatisha

MADIWANI wa Halmashauri wa Wilaya ya Muleba mkoani Kagera wamelaani kitendo cha Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Joseph Mkude kuwafukuza waandishi wa habari na wananchi katika vikao vya Baraza la Madiwani hao.

 

9 years ago

Habarileo

Maguri awatisha nyota wa kigeni

MSHAMBULIAJI Elias Maguri amezidi kuwawashia taa washambuliaji wa kigeni kwenye mbio za kuwania kiatu cha mfungaji bora baada ya juzi kuifungia mabao mawili timu yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo awatisha wachezaji Yanga

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Magufuli awatisha wananchi Kongwa

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli, ametumia nafasi ya uwekaji wa jiwe la msingi katika barabara ya Mbande Kwangwa kuwatisha wananchi kuwa iwapo watachagua viongozi nje ya CCM watashidwa kufungua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Awatisha watu kwa bunduki bandia studioni

Mtu aliyekuwa amebeba bunduki bandia amekamatwa ndani ya studio ya matangazo ya televisheni nchini Uholanzi na kusababisha matangazo kusitishwa kwa muda.

 

11 years ago

Mwananchi

Bulaya amvaa Wassira

Siku moja baada ya Steven Wassira kutangaza nia ya kutetea ubunge wa Jimbo la Bunda mwakani, Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amesema anashangaa kuona mwanasiasa huyo mkongwe anaweweseka kwa kutojua ni nafasi ipi anaitaka.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wassira ataeleweka kwa Warioba

MIMI ni miongoni mwa watu wanaounga mkono katiba inayopendekezwa kwakuwa imegusa masilahi ya makundi mbalimbali tofauti  na katiba ya 1977 tunayoitumia Najua kuisifia katiba inayopendekezwa si jambo rahisi kueleweka na...

 

9 years ago

Habarileo

Wassira, Chiza, Mwanri wadondoka

MATOKEO ya ubunge yameanza kutangazwa jana katika sehemu mbalimbali nchini huku kukiwapo na mabadiliko makubwa ya wabunge kati ya vyama vya CCM na Chadema. Katika matokeo yaliyolifikia gazeti hili na ambayo yamethibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi, CCM imewapoteza mawaziri watatu hadi jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani