Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wassira, Chiza, Mwanri wadondoka

MATOKEO ya ubunge yameanza kutangazwa jana katika sehemu mbalimbali nchini huku kukiwapo na mabadiliko makubwa ya wabunge kati ya vyama vya CCM na Chadema. Katika matokeo yaliyolifikia gazeti hili na ambayo yamethibitishwa na wasimamizi wa uchaguzi, CCM imewapoteza mawaziri watatu hadi jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dar yamtaabisha Mwanri

WAZIRI wa Nchi, Ofisi  ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Agrey Mwanri, amewekwa katika wakati mgumu na baadhi ya wabunge baada ya kumtaka atoe maelezo...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri amsimamisha kazi mhandisi

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Paschal Manyama.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanri awaonya maofisa elimu

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri amewataka maofisa elimu wa mikoa na wilaya wa shule za msingi na sekondari kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili kama ilivyokusudiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri agoma kukagua miradi

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Aggrey Mwanri amegoma kukagua miradi mbalimbali wilayani Maswa baada ya kugundua kuwa miradi hiyo imejengwa chini ya kiwango.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanri achefuka viwango vya mhandisi

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri ametilia shaka uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa Mhandisi wa ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Ngonyani Ngonyani na hivyo kuagiza kupatiwa taarifa zake binfasi na vyeti vyake.

 

10 years ago

Michuzi

SIMAMIENI IPASAVYO MIUNDOMBINU YA MAJI: MH. MWANRI

Na Saidi Mkabakuli – Ruvuma
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANRI: ZUIENI UBADHIRIFU WA MIUNDOMBINU YA MAJI

Na Saidi Mkabakuli
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.

Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa program ya maji...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri amtwanga mkwara mzito Mkurugenzi Maswa

Aggrey Mwanri NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amempa siku 30 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wazee wanaostahili kupewa matibabu bure wanaorodheshwa haraka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani