Mwanri agoma kukagua miradi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Aggrey Mwanri amegoma kukagua miradi mbalimbali wilayani Maswa baada ya kugundua kuwa miradi hiyo imejengwa chini ya kiwango.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jun
Fedha za maji zisitumiwe miradi mingine - Mwanri
SERIKALI imeagiza halmashauri nchini kutobadili matumizi ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya maji bila kupata ruhusa kutoka ngazi husika.
10 years ago
MichuziZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI - MWANRI
Wapanga mipango nchini wameaswa kuzingatia weledi wakati wa kuandaa maandiko ya miradi yanayowasilishwa kwa wafadhili ili kuongeza ushindani dhidi ya nchi nyingine wakati wa uwasilishaji wa maombi ya kupatiwa ufadhili wa miradi ya maendeleo.
Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati alipofanya mazungumzo na viongozi waandamizi kutoka wizara za viwanda na biashara, fedha, uchukuzi, nishati na madini pamoja na...
10 years ago
MichuziMWANRI: ZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAJI SHINYANGA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/New-Picture-130.png?width=650)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KUKAGUA MIRADI YA SHIRIKA MIKOANI
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Ziara ya Mkurugenzi mkuu wa NHC katika mikoa kukagua miradi
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Mlole Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Ilembo Katavi. Nyumba hizo 70 zimeshakamilika na zinauzwa kwa wananchi wote wanaohitaji.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na akiwa eneo la Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kukagua eneo ambalo ujenzi wa nyumba za gharama nafuu umeshaanza.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu...
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
DC Makonda atembelea na kukagua miradi ya maabara shule za sekondari wilayani kwake
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akisaini kitabu cha wageni katika shule ya sekondari Turian iliyopo katika wilaya ya Kinondoni wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Maabara katika sekondari za Wilaya yake. Aliyesimama nyuma yake ni Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando. (PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG).
Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando akitoa maelezo machache juu ya shule yake mbele ya Mkuu wa Wilaya...
9 years ago
Michuzi01 Dec
MRATIBU WA UN NCHINI ZIARANI MKOANI SINGIDA KUKAGUA MIRADI YA SHIRIKA HILO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F11%2FIMG_4020.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Modewjiblog team, Singida
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Parseko Kone ofisini kwake kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa utekelezaji...
10 years ago
Vijimambo09 Jul
IGP MANGU AZINDUA NA KUKAGUA MIRADI YA POLISI TABORA, TANGA NA SINGIDA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/77.jpg)
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/216.jpg)