Fedha za maji zisitumiwe miradi mingine - Mwanri
SERIKALI imeagiza halmashauri nchini kutobadili matumizi ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya maji bila kupata ruhusa kutoka ngazi husika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mwanri agoma kukagua miradi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Aggrey Mwanri amegoma kukagua miradi mbalimbali wilayani Maswa baada ya kugundua kuwa miradi hiyo imejengwa chini ya kiwango.
10 years ago
MichuziMWANRI: ZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI
10 years ago
MichuziZINGATIENI WELEDI WAKATI WA KUANDAA MAANDIKO YA MIRADI - MWANRI
Wapanga mipango nchini wameaswa kuzingatia weledi wakati wa kuandaa maandiko ya miradi yanayowasilishwa kwa wafadhili ili kuongeza ushindani dhidi ya nchi nyingine wakati wa uwasilishaji wa maombi ya kupatiwa ufadhili wa miradi ya maendeleo.
Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati alipofanya mazungumzo na viongozi waandamizi kutoka wizara za viwanda na biashara, fedha, uchukuzi, nishati na madini pamoja na...
10 years ago
MichuziSIMAMIENI IPASAVYO MIUNDOMBINU YA MAJI: MH. MWANRI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa...
10 years ago
VijimamboMWANRI: ZUIENI UBADHIRIFU WA MIUNDOMBINU YA MAJI
Serikali imetoa wito kwa taasisi za umma kusimamia kwa umakini miundombinu ya miradi ya maji pindi inapokamilika ili kuweza kuwapatia wananchi huduma ya maji ya uhakika mara miradi hiyo inapokabidhiwa kwa kamati za usimamizi wa maji.
Wito huo umetolewa na kiongozi wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri wakati timu hiyo ilipokuwa ikifanya ukaguzi wa ujenzi wa miundombinu ya maji ya utekelezaji wa program ya maji...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s72-c/3.jpg)
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi
![](http://1.bp.blogspot.com/-3p3KMvhdZmY/VMCs0bPld0I/AAAAAAAG-1k/mxPAP9T0878/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jzdmupVD07I/VMCswcuD1RI/AAAAAAAG-0w/iflIDowcVMc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DiQhVYP9zj0/VMCs2uskuQI/AAAAAAAG-2U/EiFI6RtU3Is/s1600/7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s72-c/IMG-20150122-WA007.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s1600/IMG-20150122-WA007.jpg)
Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s72-c/unnamedT1.jpg)
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Yatembelea Miradi ya Maji Tanzania Bara
![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s1600/unnamedT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYGqpjXhDG4/VMC_Q27voUI/AAAAAAAG-5c/mb9Cb6qdZg0/s1600/unnamedT2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wvBn_MX1K7g/VMC_QbtPs0I/AAAAAAAG-5U/guW5CHTMGC8/s1600/unnamedT3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10