Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yashikwa pabaya bungeni

Kashfa ya zaidi ya Sh200 bilioni za Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kudai kuwapo kwa watu wanaonunua mashahidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali

ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu nchini waishika ‘pabaya’ Serikali

>Baraza la Walimu Tanzania(CWT), limesema ifikapo mwishoni wa Februari, mwaka huu, Serikali haijakamilisha madai yao yakiwamo malimbikizo ya mshahara Sh40 bilioni watatangaza mgogoro na Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya

Dar es Salaam. Viongozi wa dini za Kikristo na Kiislamu wameendelea kuiweka Serikali katika wakati mgumu baada ya kusema hawataiunga mkono Katiba Inayopendekezwa ikiwa matakwa yao hayatazingatiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wasulubu serikali bungeni

SERIKALI imelazimika kuweka kwapani muswada wa sheria ya usimamizi wa kodi wa mwaka huu wa fedha baada ya kushindwa kupata akidi ya theluthi mbili ya wajumbe kutoka Zanzibar ambao wanaunda...

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Serikali yapita bungeni

Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016, imepitishwa na Bunge, huku kwa mara ya kwanza Mbunge wa Vunjo Augustine Mrema akiipinga, lakini wabunge watatu wa upinzani waliiunga mkono.

 

10 years ago

Mwananchi

BUNGENI: Serikali yaichomoa miswada ya habari

>Juhudi za wadau wa habari kuwasilisha ombi kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda wakitaka miswada miwili ya habari ya mwaka 2015 iwasilishwe kwa mfumo wa kawaida, zimezaa matunda baada ya Serikali kuamua kuiondoa kabisa miswada hiyo, sasa haitajadiliwa tena katika mkutano wa 19 wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI YAUONDOA MUSWADA WA HABARI BUNGENI

Waziri wa nchi ofisi ya rais (kazi maalumu) Prof Mark Mwandosya(picha kutoka Maktaba)


Serikali imeuondoa muswaada wa sheria ya haki ya kupata habari 2015 uliokuwa uwasilisilishwe na kujadiliwa katika mkutano unaoendelea wa bunge mjini Dodoma ili kutoa nafasi kwa wadau kutoa maoni yao.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (asiye na wizara maalum) Prof Mark Mwandosya ameliambia bunge leo asubuhi kuwa serikali imefikia uamuzi huo kutokana na maoni ya kamati ya kudumu ya bunge ya maendeleo ya jamiii...

 

10 years ago

GPL

LIVERPOOL HOI YASHIKWA NA EVERTON

Wachezaji wa Everton wakishangilia baada ya Phil Jagielka (kulia) kufunga dakika ya 90 dhidi ya Liverpool.…

 

11 years ago

Mwananchi

Serengeti Boys yashikwa nyumbani

Timu ya taifa ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Ngorongoro Heroes imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Afrika Kusini, baada ya kulazimishwa suluhu nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani