Vijana Afrika wataka ushirikishwaji
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana Afrika (PYU) imewataka viongozi wa nchi hizo kutoa kipaumbele kwa vijana na kuwashirikisha katika kufanya uamuzi ngazi za juu unaohusu kundi hilo kusaidia kupunguza changamoto zilizopo.
Rais wa jumuiya hiyo, Francine Mayumba, alisema dare s Salaam jana kuwa tatizo la ushiriki mdogo wa vijana katika ngazi za uamuzi katika nchi za Afrika husababisha kundi hilo kutotimiziwa mahitaji yao ya msingi.
“Tunataka kuondoa tatizo la kufanya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVijana wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha kujadili Sera ya Vijana wa EAC
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana
Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.
Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...
9 years ago
Habarileo15 Nov
Vijana ANC wataka kuimarishwa uhusiano na Tanzania
VIJANA wa Chama cha African National Congress (ANC), ambao ni wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Taasisi mbalimbali nchini Afrika Kusini wametaka mahusiano na ushirikiano ulioanzishwa baina ya nchi yao na Tanzania kuendelea kudumishwa daima kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
10 years ago
MichuziVIJANA WALIOTIMIZA MIAKA 18 WAASWA KUPIGA KURA ILI KUCHAGUA VIONGOZI WANAO WATAKA.
Nae Mwenyekiti wa asasi isiyo ya kiserikali Tanzania People with Disabilities Organization (TAPWAO), Michael Mwanzalima ameomba tume ya uchaguzi kutoa vipaumbele kwa walemavu wa viungo mbalimbali siku ya kupiga kura ili isiwe kikwazo kwao katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0jHIzFcD9s0/Xk4PmDtOicI/AAAAAAALeZw/Y9VaGlNX39wLvurWhB7k65YD5PWTds1ggCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1582140698943.jpg)
USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI WASISITIZWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0jHIzFcD9s0/Xk4PmDtOicI/AAAAAAALeZw/Y9VaGlNX39wLvurWhB7k65YD5PWTds1ggCLcBGAsYHQ/s1600/FB_IMG_1582140698943.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/FB_IMG_1582140667519.jpg)
………………………………………………………………… Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amesisitiza uwepo wa umuhimu wa ushirikishwaji wa Wananchi kwenye shughuli za kimaendeleo za Kiserikali ili kuimarisha dhana nzima ya utawala bora nchini.
Gavana Shilatu ameyasema hayo alipotembelea mradi wa ujenzi wa Zahanati unaondelea Kijiji cha Lembela kata ya Mihambwe ambapo hakufurahishwa na kitendo cha Wananchi kutojumuishwa kwenye kamati mbalimbali za Halmashauri ya Serikali ya...
5 years ago
MichuziMAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Vijana wa Afrika waibukia Ligi ya Marekani